Recent content by Vadrosha

  1. Vadrosha

    naombeni msaada wa swali hili la saikolojia

    1)"kuna aina ngapi za uchunguzi? 2)"Utatumia mbinu zipi iliuweze kupata taarifa za saikolojia?
  2. Vadrosha

    Nini ubora wa elimu tz

    Ndo ivo ase
  3. Vadrosha

    Nini ubora wa elimu tz

    Walivyo rhusu ordinary dplm kwa ss tulio anza walituruhus ku transfer bt bado atujapata chanzi wametuacha Afu kumbuka waliifuta ivo
  4. Vadrosha

    Nini ubora wa elimu tz

    So wote tuliyoenda
  5. Vadrosha

    Taja dhamira la shahiri hili(msaada tafadhali wakali wa fasihi)

    #daaaaaa #mnaikumbuka lkn #Hii 1. Karudi baba mmoja, toka safari ya mbali, Kavimba yote mapaja, na kutetemeka mwili, Watoto wake wakaja, ili kumtaka hali, Wakataka na kauli iwafae maishani. 2. Akatamka mgonjwa, ninaumwa kwelikweli, Hata kama nikichanjwa, haitoki homa kali, Roho naona...
  6. Vadrosha

    Kuwa na mafuta mengi usoni +chunusi

    Jamani nisaidieni(boy) na tatizo la uso kuwa na mafuta mengi unaopelekea kuwa na chunus zisizo isha je nitumie mafuta gani ama njia gani ili yaishe au kumaliza chunusi mana nimetumia mafuta mengi bila mafanikio[emoji70]
  7. Vadrosha

    Nini ubora wa elimu tz

    Kidato cha sita na hichi ndicho kinani discourage sana kusoma tena
  8. Vadrosha

    Nini ubora wa elimu tz

    Km kwa sasa dvtion three wa kidato cha sita ana tupiwa certificate na wa o-level wenye dvtion 3 pia kisa kutofikisha GPA 4 na wanatoa chance ya diploma sec bt chache sana kulingana na wadau je nini maana ya kufika kidato cha sita?
Back
Top Bottom