#daaaaaa #mnaikumbuka lkn #Hii
1. Karudi baba mmoja,
toka safari ya mbali,
Kavimba yote mapaja,
na kutetemeka mwili,
Watoto wake wakaja,
ili kumtaka hali,
Wakataka na kauli iwafae maishani.
2. Akatamka mgonjwa,
ninaumwa kwelikweli,
Hata kama nikichanjwa,
haitoki homa kali,
Roho naona...
Jamani nisaidieni(boy) na tatizo la uso kuwa na mafuta mengi unaopelekea kuwa na chunus zisizo isha je nitumie mafuta gani ama njia gani ili yaishe au kumaliza chunusi mana nimetumia mafuta mengi bila mafanikio[emoji70]
Km kwa sasa dvtion three wa kidato cha sita ana tupiwa certificate na wa o-level wenye dvtion 3 pia kisa kutofikisha GPA 4 na wanatoa chance ya diploma sec bt chache sana kulingana na wadau je nini maana ya kufika kidato cha sita?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.