Hapana hakina hati ya wizara. Kina hati ya serikali ya mtaa. Tumelipia gharama za awali za urasmishaji ili kupewa hati ya wizara baada ya mchakato kukamilika, ila taratibu zinaendelea
Mkuu kama hupajua mahala plz uliza usaidiwe. Kutoka Ferry hadi Mji mwema pale kwenye taa za kuongoza magari ni km 5, kutoka pale Mji mwema hadi shule ya msingi Kibugumo ni km 2.7 then shuka njia ya kwenda nyumba za serikali kapime. Utakuja rekebisha kauli hy
Habari wana jukwaa!
TAARIFA: KIWANJA KIMESHAUZWA
Note: admin sijaelewa kwa nini tangazo la kwanza mmelifuta. Tafadhali naomba msifute au laah niambieni nakosea wapi
Nauza kiwanja changu kipo eneo la Kidete, Mtaa wa Kibugumo, Kigamboni. Kiwanja kinafikika kirahisi sana kwa anefahamu njia ya...
Pole sana Mkuu
Upo mtindo mwingine wa kuisajili gari katika malipo ya siku ya sh 2500 bila ridhaa wala kutaarifiwa
Unakuta ulipark mahala kwa muda mfupi, lakn mtu wa maegesho sijui kwa maksudi au kuhakikisha hesabu yake ya siku inatimia anakusajili ktk mfumo huo, hapo ina maana gari yk hata...
Habari wanajamii
Naomba kujuzwa bei ya kioo cha android screen lcd inch 10, kwn inaonekana kama touch imekufa. Hii ni kutokana na kutofanya chochote ukikigusa, ila ukitumia mouse, ipo vema.
Naomba
1. Kujua bei yake
2. Mahali ntapata
3. Gharama za ufundi
Kama unacho nicheki PM
Habari zenu,
Natumai tupo poa. Naomba ufafanuzi wa Toyota Harrier yenye injini model no. MCU30 kuwa na injini capacity 2490 nimeiona mahala. Kwa sababu nimezoea kuziona Toyota Harrier za 2AZ ambayo inakuwa na cc 2360 na 1MZ inakuwa na cc 2990 (nirekebishwe kama nimekosea).
Nimekutana na hii...
Nauza simu aina ya OPPO A74 (Used)
Sifa zake
1. Aina : Oopo A74
2. Android version: 11
3. RAM: 6GB
4. Storage: 128GB
5. Rangi: nyeusi
6. Line 2
7: Bei 430,000 maongezi yapo
8. Inapatikana Kigamboni, Dar es Salaam
Mawasiliano: 0777777766 call au inbox au whatsapp
Karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.