Recent content by Uyui Yetu

  1. U

    TANESCO imeoza ibinafsishwe

    hivi umeona madudu yaliyomo ndani mfano kgm tanesco wanashindana kuuza mafuta ya jenereta
  2. U

    TANESCO imeoza ibinafsishwe

    wapo sasa wafanye nini
  3. U

    TANESCO imeoza ibinafsishwe

    Shirika la umeme Tanzania liko hoi kutokana mgawo mkubwa unaoendelea. wafanyakazi wake wamekuwa wanapenda rushwa kupitiliza. wakati Nchi ikiwa kwenye mgao mzito wa umeme mpaka kero wenyewe wanawaza kuiba tuuu. Mfano wilaya uyui kila kitu lazima utoe rushwa ukitaka kupimiwa utoe rushwa...
  4. U

    Rais Samia fanya ukaguzi kwenye ujenzi wa SGR

    kuna tuta moja tumelijaza vumbi juu hapa tunasubiria mvua reli ibebwe na maji
  5. U

    Rais Samia fanya ukaguzi kwenye ujenzi wa SGR

    Ni jambo la kusikitisha tangu SGR ianze kujengwa raisi wetu mpendwa hajawahi kuja kuikagua na timu ya wataaalamu wake. Wanakuja TRL magari yao na hawafungui vioo wanaondoka bila kukagua wengine wanakagua ofisini hawafiki site. Ikumbukwe kuwa ujenzi wa kilometa ya SGR moja ina gharimu...
  6. U

    DOKEZO Wilaya ya Uyui inalazimisha Walimu kuchangia michango ya Mwenge

    sirikali ya matajiri ngoja tukamuliwe mpk tufe
  7. U

    DOKEZO Wilaya ya Uyui inalazimisha Walimu kuchangia michango ya Mwenge

    walimu wasilazimishwe wanunue kwa haiari yao
  8. U

    DOKEZO Wilaya ya Uyui inalazimisha Walimu kuchangia michango ya Mwenge

    hiyari wapi waalimu wanaambiwa wanunue kwa ma Aek
Back
Top Bottom