Imebidi tena kusoma nilichoandika na nikaona hakuna tatizo lolote ndugu zerominus10 na Kashaija72 pengine hujui lolote kuhusu ISO ukadhani ni kitu kinachozalishwa. Ikikupendeza unijibu. una maarifa yoyote kuhusiana na ISO?
Sio product ya kampuni mkuu. Wala hiyo/hizo standard haimilikiwi/hazimilikiwi na mtu.
Ni huduma au hitaji ambalo kampuni yako inafaa kuwa nayo.
Muhimu uwe na kampuni ambayo angalau ina mifumo kadhaa ya kiuendeshaji (departments and processes). Sasa ukitualika kwenye kampuni yako ndio utapata...
Ni utaratibu wa kuifanya biashara/kampuni yako iwe na viwango vya kimataifa kwa upande wa ubora kwenye menejimenti. Viwango hivyo.vinakupa faida tajwa hapo juu pamoja na zingine nyingi.
ISO 9001 inakuwezesha kuendesha biashara yako kikanuni bila kutegemea utashi wa mtu mmoja mmoja hasa kwenye...
Napenda kuchukua fursa hii kupongeza juhudi zako na ubunifu wako katika kuwaletea watu wa mkoa wako na Tanzania kwa ujumla ubora katika utendaji wao wa kila siku. Juzi ulikaa na wadau wa habari kuzungumzia masuala ya usafi katika mkoa wa Dar es salaam. Ni jambo jema kwani kwa tafiti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.