Nashukuru Sana kwa kunitia moyo mdogo wangu. Katika pitapita zangu kwenye bibilia niliwahi kukutana Na andiko linalomuongelea mjane ni mtu WA aina gani, andiko hilo lilimtaja mjane ni Yule aliyetimiza miaka sitini (60) tena ambaye amekulia nyumbani mwa Bwana kwa maana ya mcha Mungu. Andiko hili...
Naomba nikushukuru sana kwanza kwakunijali umeongea sentes chache sana lakini zilizoubeba uhalisia! Ni kweli nawaza sana kama itawezekanaje kuipata kopy ya marehem mume wangu! Naendelea kumlilia sana MUNGU Juu ya hili kwakuwa yeye hufanya yaliyotofauti Na fahamu zetu. Barikiwa sana Rafiki yangu.
Ni kweli kabisa mpendwa, kulea familia peke yako Na mtoto akatoka mwenye maadili mema si kazi rahisi, inahitajika hekima kwakweli. Lakini nazidi kumshangaa Mungu kwa namna anavyowasimamia wanetu hata kiasi kuna sehemu unaweza linganisha maadili aliyonayo mwao uliyemlea ukiwa single Na mtoto...
Uko sahihi dear, Na pia sio wote wamekuwa single kwa sababu ya kuachana tu, sababu ni nyingi ikiwemo mume/ mke kutangulia mbele za haki. Shukrani nyingi zimfikie mleta mada hii.
Asante kwa swali zuri. Nadhani masharti yangu makubwa nimeyaorodhesha mwanzo wa bandiko! Swala la kipato cha MTU eidha ni kikubwa ama kidogo halinishuhulishi sana kwani maisha yanashuka Na kupanda wakati wowote. Nahitaji mume ambaye hata kama kipato chake ni cha kawaida basi awe Na wivu au kiu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.