Recent content by Uvundo80

  1. Uvundo80

    GE2020 Tundu Lissu: Wito wa Polisi siyo barua ya kirafiki, Nitaendelea na ratiba yangu ya kikao na mabalozi

    Duuu na Mimi nashangaa aisee....kweli Kuna watu wamechoka ndani ya mfumo....Tena nafikiri ni idara karibu zote
  2. Uvundo80

    GE2020 Rashid Mwinshehe (Kingwendu) achukua fomu ya kugombea Ubunge jimbo la Ilala

    Hukuwepo wewe kisarawe 2015...kuanzia kazimzumbwi,sungwi,masaki,kanga,maneromango,msanga....mpaka chole samvula kingwendu alichakaza kweli kweli.....nadhani katumia uungwana tu kumtoa waziri.....yeye pia waziri anajua mziki wa kingwendu.........
  3. Uvundo80

    Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

    Niliwai kuishi wilaya ya bahi Dodoma...kuna siku moja Niko nje ya nyumba majira ya mchana wa saa 7 hivi,alitokea mtu gafla akaniomba nimletee maji ya kunywa ,nilipoingia ndani nakutoka nikakuta yupo kifua wazi wakati alikuwa kavaa shati....na Hana chochote alichobeba.....nikampatia maji akanywa...
  4. Uvundo80

    Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

    Niliwai kuacha pombe kwa miezi minane ,hakika sikuwa na hamu hata kidogo miezi 7 ya mwanzo....mwezi wa nane siku moja usiku nimelala nilistuka usingizini na kupata hamu ya ajabu sana ya pombe...kesho yake nikamwambia wife kuwa nina hamu ya ajabu.....sikunywa lakini...mwezi huo huo nilijikuta...
  5. Uvundo80

    Watanzania wauawa Somalia, yumo Mahad Nur wa City Mall

    DUNIA SIO SEHEMU SALAMA KABISA
  6. Uvundo80

    Nilitembea na shemeji yangu mara moja ,sasa anamshawishi mdogo wake achepuke kwingine nae...

    Kwani huwa tuna tubu hadharani?...nakubali kosa langu kuitika wito kwake....
  7. Uvundo80

    Nilitembea na shemeji yangu mara moja ,sasa anamshawishi mdogo wake achepuke kwingine nae...

    Hakika sikutegemea kujutia jambo lolote la nyuma..Hili ni la kwanza na limedumu mda sana...wakti mwingine hata akija nyumbani tu ,natunga safari ya ghafla naondoka zangu..
  8. Uvundo80

    Nilitembea na shemeji yangu mara moja ,sasa anamshawishi mdogo wake achepuke kwingine nae...

    Hata barabarani tunaambiwa tusinywe pombe na kuendesha chombo cha moto,ila watu wanakaidi matokeo yake ni ajari...ila hakuna anaedhamilia na kuikubali ajari....ajari ya jambo lolote huwa haina taarifa kwamba inatokea....Nashukuru lakini kwa mawazo yako
  9. Uvundo80

    Nilitembea na shemeji yangu mara moja ,sasa anamshawishi mdogo wake achepuke kwingine nae...

    nashukuru kwa ushauri....Nimeacha kunywa,nna miaka miwili mkuu.
  10. Uvundo80

    Nilitembea na shemeji yangu mara moja ,sasa anamshawishi mdogo wake achepuke kwingine nae...

    Uko sahihi Mkuu....ndo hata hili nalijutia sana ..siwezi kukisahahu
Back
Top Bottom