Wadau habari za jumapili? Nina gari aina ya rav4 old model auto transmission , wakati nikiwa nimewasha gari kuna alama Fulani inatokea kwenye dashboard ni alama yenye mchoro wa gari ambalo linawasha taa za nyuma. Naomba kujua alama hii inamaana gani kwenye gari wakati ambapo taa zote za gari...
Mkuu mshana ebu tupe ubora wa gari aina ya harrier maake bei zake zimeshuka kidogo sokoni na wengi tunampango wa kuhamia huko! Mfano mimi nina rav 4 new model lakini Kiukweli naizimia sana harrier.
Hawa jamaa they are the most autonomous creatures in this planet! Hawana wakuwachunguza au kuwakagua! Wapo free with their lives , unaingiaje humo hamna anaefahamu na wala cjui wanasoma fani gani mungu wangu! Ila wengi wao wanastahili nyadhifa zao
Ndo napoipendea jamii forums maake kuna diversity of ideas ! Kuna watu wa grammar /morphology ya maneno yani hadi raha! Isiwe ishu pale kwenye jiji pasomeke mji ili twende vizuri tudiscuss mada sio neno moja ka jiji@jambazi na kitu kupe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.