Recent content by utemi

  1. utemi

    Ni hatari kuitangazia dunia habari za ugunduzi usio rasmi

    Jipe moyo... Mpiga sumari wa victor meena
  2. utemi

    Ni hatari kuitangazia dunia habari za ugunduzi usio rasmi

    Victor meena bwana ( mangi)!!! Hizi sheria na kanuni za habari ni zipi mangi?!... Bado kidogo utakuwa kichaa kwa kuonga waandishi wa habari ili wachafue chuo cha ufundi Arusha. Hoja ni lini chuo kiliita press conference na kuzungumzia ugunduzi wa hhelikopta!?
  3. utemi

    Ni hatari kuitangazia dunia habari za ugunduzi usio rasmi

    Hoja dhaifu sana .... ni sawa na kusema Dr. Harrison mwakiembe ni mwanasheria hivyo basi ana sifa ya kuwa waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo.
  4. utemi

    Ni hatari kuitangazia dunia habari za ugunduzi usio rasmi

    sijawahi kusikia sehemu yoyote wahusika wa hii helikopta alisema wamegundua Helikopta bali alisema ni ubunifu wao na wapo kwenye utafiti na hayo mengine ni majungu na kuwakatisha tamaa tu.
  5. utemi

    Ni hatari kuitangazia dunia habari za ugunduzi usio rasmi

    Ni lini walisema wamegundua helikopta bwana Victor meena ( Mangi) ?
  6. utemi

    Ni hatari kuitangazia dunia habari za ugunduzi usio rasmi

    Victor meena et al.. Kiwango chako cha kufikiri kumbe ni kidogo hivi.. Soma kidogo historia ya helikopta Dunia... Utakuwa unachekesha Dunia kisema wahusika wamegundua helikopta. Siamini kiwango chako cha kufiriki kimefika hapa !! hivi umetumia fedha kiasi gani kwa sariwati kushawishi...
  7. utemi

    Ni hatari kuitangazia dunia habari za ugunduzi usio rasmi

    Victor Meena et al... hivi hii sio hatua ?!...
  8. utemi

    Ni hatari kuitangazia dunia habari za ugunduzi usio rasmi

    Ni lini Chuo cha Afundi Arusha ilifanya press conference na kuitangazia dunia kuhusu helikopta ?!!.... suala la helikopta liliibuliwa na vyombo vya habari tu, tena wakati wa ziara ya alikuwa katibu mkuu wa ziara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia alipokuja kuzindua maabara ya hydraulics. pia si...
  9. utemi

    Ni hatari kuitangazia dunia habari za ugunduzi usio rasmi

    Victor Meena et al safari hii Paul Sariwat imempa bei gani....? . next week tutegemea story gani ya kuchafua chuo cha Ufundi Arusha ...?.
  10. utemi

    Ubadhirifu na Ufisadi wa Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha sasa ni Bayana

    umesema kweli ndg. Manyerere.... kifupi mleta taarifa hii kwa mujibu wa Press Release ya Chuo cha Ufundi Arusha (ATC) alikuwa ni Mtumishi wa Chuo lakini alifukuzwa kazi kwa kukiuka sheria za utumishi wa Umma na Kesi yao ( wapo watatu) ipo CMA pale Arusha. Huyu Bwana ni bingwa wa propaganda kwa...
Back
Top Bottom