Recent content by Utatu

  1. U

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kwanini ananyamazia matukio ya Utekaji?

    Siasa ni maisha mkuu. Labda unamaanisha siasa fake, na chafu ndio ziachwe. Kwa sababu, CCM ya sasa sio chama cha siasa. Ni chama dola. Ni kama kupe, ni mpaka kitolewe hapo kwa nguvu. Vinginevyo hakuna aliye salama, ikiwemo wewe unayedhani Samia kapita kihalali. Wasimamizi wa uchaguzi nchi...
  2. U

    JamiiForums Tanzania Uchawa wa wanahabari: Mbona hakuna anayeuliza kuna Meli ngapi zilizopewa bendera ya Tanzania?

    Utaambiwa guys, guys, guys idadi ya meli ya nini tena? Nchi ni shamba la bibi.
  3. U

    JamiiForums Tanzania DCP Mambosasa: Ni kosa kumkamata asiyehusika wakati wa kumtafuta mtuhumiwa

    Wana kipaji cha utapeli. Maneno matupu. Kwanini wasianze na kuwawajibisha Polisi/vyombo vya usalama waliomkamata dada yake na Polepole na kumpiga vibao wakati wakimtafuta Polepole?
  4. U

    JamiiForums Tanzania Lengo la Agustino Polepole kujitokeza ni lipo haswa?

    Anajua wasiyoyajua
  5. U

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Omari Mahita Omari, Mtoto wa IGP mstaafu aliyehenyeshwa Mahakamani na Mawakili wa Mbowe

    Hawana huo weledi. Undugu-nisation unaipeleka nchi yote shimoni. Kila mahali tatizo linazidi kukua, angalia mashahidi na mawakili waJamhuri kwenye kesi ya uhaini ya Lissu. Hovyo kabisa. Hutuna tena vyombo vya haki vya kuaminika.
  6. U

    JamiiForums Tanzania The Economist: Usikaribishe Dhalimu mpya Afrika. Samia Suluhu Hassan amesababisha mgogoro hatari zaidi Tanzania tangu uhuru.

    Google Translated: Chama ambacho kimeongoza Tanzania tangu uhuru kutoka Uingereza mwaka 1961 ni kiumbe cha ajabu. Chini ya Julius Nyerere, baba mwanzilishi wa nchi, Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambacho kinatafsiriwa kama “chama cha mapinduzi”, kililazimisha mamilioni ya watu kwenye mashamba ya...
  7. U

    JamiiForums Tanzania Ukisikiliza nondo alizotoa Muhongo utagundua Tanzania ina changamoto hizi

    Profesa, mara moto mara baridi. Awe na msimamo. Huko nyuma, Lissu alishawahi kusema hajawahi kuona profesa muongo kama profesa Muhongo.
  8. U

    JamiiForums Tanzania Mauaji yaliyotokea awamu ya Rais Samia yatajibiwa na karma!

    Anaishi kama digidigi.
  9. U

    JamiiForums Tanzania Benki Kuu ya Tanzania: Hatuuzi dhahabu kufadhili miradi ya Serikali

    Tuna watu wa hovyo kabisa kuwahi kutokea kuongoza taasisi zetu. Wakati mataifa yanayojitambua kama China na Poland wanatafuta dhahabu kwa udi na uvumba wewe unauza. Hukuna viongozi hapa ndugu zangu.
  10. U

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu ni Rais Haramu, Serikali ya Hofu, na Teuzi za Kujinusuru

    Mnamhusisha Mungu kwenye wizi na utapeli wa kura kwa sababu gani? Jambo liko wazi, huyu Mama kajipachika. Hakuna watu millioni 32 waliompigia kura. Hakuna. Wasimamizi wa Uchaguzi ndio walitekeleza huu wizi. Kwa kujaza kura za uongo mtupu. Ni kiongozi anayeshinda kwa haki, kweli, na uwazi...
  11. U

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu ni Rais Haramu, Serikali ya Hofu, na Teuzi za Kujinusuru

    Ni utapeli wa kisiasa mkuu. Nchi haina Raisi, kuna mwanasesere tu hapa. Wewe fikiri Raisi asiye na uwezo anayehitaji msaada wa kila aina, kila kona, ni wa nini haswa?
  12. U

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu ni Rais Haramu, Serikali ya Hofu, na Teuzi za Kujinusuru

    Hakika huyu Rais batili anaishi kwa hofu. Na ukweli ndio huo hana uwezo hata wa kutambua wala kuelewa haya unayozungumza hapa, yamemzidi viwango.
  13. U

    JamiiForums Tanzania Rais Samia awateua Dkt. Mpango na Kassim Majaliwa kuwa washauri wake

    Rais batili anatafuta kukubalika na kuchafua wengine. Tapeli tu wakisiasa. Uwezo wa kuunga unga. Hakuna kitu pale.
Back
Top Bottom