Recent content by Utamaduni

  1. Utamaduni

    JamiiForums Tanzania Kimsingi tozo bado hazijafutwa kwa sababu zifuatazo

    Waondoe tozo mtu ukitaka kulipia control number. Nilikuwa nataka kulipia control numbe ya mgonjwa muhimbili kwa simu, nikaona tozo 7,000 nimeenda kulipia kwa wakala hamna tozo. Hivi kweli me nauguza, hela yenyewe tumechanga familia nzima, halafu kuilipia kwa simu serikali mchukue elfu 7, ni...
  2. Utamaduni

    JamiiForums Tanzania Kuondoa Tozo kwenye Mabenki huku mkiacha kweye Miamala ya Simu, ni unyonyaji

    Nilitaka kulipia control number ya mgonjwa wangu Muhimbili hapa kwa simu, nikaona Makato (tozo) ilikuwa 7,000,,, Nimaamua kuingia kwa wakala kuilipia, nimelipia gharama ya bili tu nimeomoa elfu 7 ya tozo. Hebu fikiria, elfu 7 si ni nauli ya kunileta Muhimbili kumwona mgonjwa siku mbili ambayo...
  3. Utamaduni

    JamiiForums Tanzania Rais Samia awasili Oman kwa ziara ya siku 3

    Hili la serikali kutokufanya biashara mama nimekukubali na ndio kimekuwa kilio chetu kikubwa sisi watu wa sector ya majini. Sheria iliyopitisjwa kuifanya TASAC kuwa wakala pekee (Shipping Agent na Clearing agent wa kazi nyingi) tunaomba ipelekwe hungeni na iondolewe, maana bila hiyo kuondokewa...
  4. Utamaduni

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Mifumo imeanza kuchezewa na kuonesha makasha yamelipiwa na kuruhusiwa kutolewa Bandarini

    Hawa si waliwaondoa makampuni binafsi kuwa mawakala wa meli na wakaanza kufanya clearing agency wenyewe na kukagua mizigi wenyewe (tallying) kupitia TASAC? kama kila kitu anafanya wenyewe, analalamika anaibiwa nini? Walifikiri wanaoiba ni makampuni binafsi ndio maana wakayaondoa, matokeo yake...
  5. Utamaduni

    JamiiForums Tanzania Bunge lataka Watumiaji wa Daraja Tanzanite (Selander) Walipie

    Ninapopita sasa hivi ndipo nitaendelea kupita bure, hawatapata hata shilingi yangu.... Wawatoze hao hao mabalozi labda, labda waifunge njia hii tunayoipita sasa
  6. Utamaduni

    JamiiForums Tanzania TRA fanyeni kazi yenu kwa ufanisi! Watu hawaombi risiti na wenye maduka hawatoi risiti kikamilifu!

    Wewe kama unataka risiti chukua, me siipeleki risiti sehemu yoyote kudai fidia, sanasana nitaishia kuichana tu, so nikishachukua mzigo wangu nasepa, kwanini tutiane umasikini? Kwa serikali ipi hadi niipende sana nidai kikaratasi cha kuthibitisha nimenunua? Mali si naiona mkononi, karatasi la...
  7. Utamaduni

    JamiiForums Tanzania WhatsApp, Facebook na Instagram zatoweka hewani Oktaba 4, 2021

    Kuna watu walijishaua wanataka kuwakata kodi? Hii ni advertisement tu kuwa mitandao ni ya kwao, msiwapangie, sirikali kama vili tengenezeni whatsap na Facebook zenu,
  8. Utamaduni

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Tunaangalia namna ya kutoza Kodi kwenye Huduma za Mtandaoni

    Wadau, wekeni VPN. Wakianzisha hii ndio yao, hawatakuona kama unatumia network za ndani, hautakatwa Hawa dawa yao ni kutafuta namna ya kuwakwepa tu na kuwaombea washindwe... Wanasababisha watu hatuwezi tena kuiombea nchi kwa mzigo kwa jinsi wanavyowaza kutukandamiza muda wote.....
  9. Utamaduni

    JamiiForums Tanzania Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

    Ni kweli, kwenye magroup naona video zinatembea sasa risasi zikipigwa hapo Stanbic karibu na Salenda / Ubalozi wa Ufaransa,,, Naona maombi yao ya Ugaidi yanaanza kujibiwa
  10. Utamaduni

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuamini hiki ninachokisoma kuhusu haya makato ya LUKU

    Mimi nimenunua umeme wa 50,000 sasa hivi, ujumbe wangu huu hapa Cost 39,344.27 VAT 18% 7,081.96 EWURA 1% 393.44 REA 3% 1,180.33 Debt Collected 2,000.00 TOTAL 50,000.00 20/08/21 22:19 Yaani nimepata umeme wa 39,344 tu, elfu 10,656 ni jumla ya makato,,,, makato ya kununua umeme ni makubwa zaidi...
  11. Utamaduni

    JamiiForums Tanzania Kisutu, Dar: Mbowe afikishwa mahakamani kwa Ugaidi. Akosa dhamana na kupelekwa rumande. Kesi kuendelea Agosti 5, 2021

    Sasa hivi naona "Mama anaubutua mwingi, hadi unatoka nje" Kweli nyinyiem ni ile ile - kuna watu ndani ya nyinyiemu are working so hard kumuondolea mama sifa, ili 2025 akose asiuzike na waweke mtu wao. Naona wamejipanga, hadi 2025 tutaisoma. Kama wanafanikiwa kwa kasi, maana sasa watu hawataki...
  12. Utamaduni

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Tumesikia malalamiko ya Watanzania kuhusu tozo za miamala na Rais ametoa maelekezo ya kuzitazama upya

    Huyu waziri hatakiwi kuwepo hapo kama waziri, he must resign. Yeye amelileta hili tatizo, na ameongea sana kututaka wananchi tuzoee shida na machungu ya tozo. Hatakiwi kuwepo hapo ili alitatue tatizo alilolileta. Kichwa chake hakina uwezo huo. Awaachie wengine watakaokuwa huru kufikiri bila...
  13. Utamaduni

    JamiiForums Tanzania Kwa kipekee kabisa naipongeza Serikali kwa kuanzisha kodi ya kizalendo kwenye miamala ya simu. Naomba Watanzania tuiunge mkono

    Sawa, endelea kuwapongeza. Hatutatumia mitandao ya simu kutuma pesa hiyo kodi mtaitolea wapi? Maana nyinyi kuiweka ni kitu kimoja, na sisi kutumia ili mtukate ni kitu kingine. Watumiaji ndo kama hivi tumeamua kuacha kutumiana hela kwa simu, tumegundua wote tupo mjini hapa hapa, tutaifuata...
  14. Utamaduni

    JamiiForums Tanzania Je, Serikali imeamua kugawana 50/50 tozo za simu na Wamiliki wa mitandao?

    Tumeni hela kwa wakala moja kwa moja ili usipate makato ya kutuma. Ikiwezekana, kama unayemtumia ana bank account, kwa transaction za kuanzia laki 4 na kuendelea bora umtumie kupitia bank, akitoa kwenye ATM makato hayazidi 2,000. Kama mbwai na iwe mbwai, tutaacha kutumia simu tuone hizo...
  15. Utamaduni

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

    Badilisha heading, huwezi kumwita raisi kwa jina lake, kuwa na heshima kwanza. Samia ndio nani? Kama mnaumia sana hameni nchi, kuimba kupokezana
Back
Top Bottom