Recent content by utali

  1. U

    Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini?

    Ukijua chanzo cha kuku na yai basi utakuwa umejua chanzo cha dunia
  2. U

    Wiki sasa sina amani

    Akuangamizaje kimya kimya bwana, kwani unafikiri yeye alizalowa nao? La msingi we nenda kapime ili kama uko ok uchukue tahadhari zaidi na kama sio poa basi uanze dozi pia. La msingi hakuna atakayeishi milele hapa duniani so acha uoga ukidhani HIV ndio kitu pekee kinachoua duniani. Uzuri siku...
  3. U

    Abiria wa Pugu anafuata nini kwenye SGR kama sio upigaji

    Dawa ni kila kituo kuweka geti litakalofunguka na abiria kuweza kupita baada ya kuwa amescan tiketi yake. Hiyo itasaidia kuzuia hao wote wababaishaji, kama unalipa nauli ya kuishia Pugu halafu ukaendelea mpaka Moro, ukifika kule manake geti litakataa kukurusu kupita maana tiketi yako ilikuwa ya...
  4. U

    Je, kuna utofauti wa kufikiri kati ya Mwafrika na watu weupe?

    Kuna kitu wazungu wanaita “paradox of plenty au resource curse” na labda kiswahili tuseme “penye miti hakuna wajenzi” Kuwa na rasilimali nyingi sana kunapunguza ulazima wa kutumia akili tofauti na watu wanaoishi katika mazingira ambayo survival yao inategemea kitu kimoja tu, mfano nchi za...
  5. U

    Longido, Arusha: Vijana 70 wakamatwa na chuo chao kufungwa wakifundishwa karate na mafunzo ya siasa kali

    Tuangalie pia hao walimu wao wanapata wapi pesa ya kuwaweka vijana kambini na kuwahudumia? Kama wazazi wao hawachangii hata buku wao wanatoa wapi pesa hizo? Kata mnyororo wa pesa zao jeuri yote itakwisha
  6. U

    Siasa ni chanzo kikubwa cha umasikini Tanzania

    Tena umasikini wa akili/fikra. Mbaya sana
  7. U

    Ajabu lakini Kweli

    Maisha ni matatizo..
  8. U

    Uovu wa shetani ni upi kwa mujibu wa maandiko?

    Mbona wewe unapanga kuzaa mtoto mwenyewe na bado unakuja kukasirika akifanya tofauti na unavyotaka?
  9. U

    Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

    Mkuu najaribu kukipakua inagoma, msaada kwenye tuta.. labda ukitume tena [emoji120]
  10. U

    Wapi Bora? Kuacha kazi Serikalini mshahara 900k na kuingia Private mshahara 3Mil Contract 4 years

    Kuna mshkaji tulikuwa naye serikalini akapata deal ya international NGO, akaomba likizo ya “sabbatical” akapata akaenda.. mkataba ulikuwa wa mwaka mmoja na ni renewable, ila ulipoisha hakutaka hata kuongeza. Mpunga alipata mkubwa sana ila shuruba za kazi ni balaa. Mawazo yangu: 1.) NGO ni...
  11. U

    Nchi ya Madokta (Phd's) wengi bila faida

    Kuongoza vichaa ni lazima nawe uwe am u act kichaa. Haiwezekani mtu anaiba billions za kujenga soko au barabara halafu anakwenda ifungia hiyo hela ndani, kesho yake anapita ktk barabara mbovu au soko chafu kisha analalamika kuwa serikali haifanyi kazi. Kama sio ukichaa ni nini.. my take...
  12. U

    Kampuni ya Apple ni matapeli wa kimataifa mpaka nchi Yao wanawafahamu

    Sio tu mgumu bali hata hajaeleweka alichotaka kusema. Soma heading halafu angalia main body uone kama kuna uhusiano.. mimi sijamwelewa mantiki yake [emoji3525][emoji3525]
  13. U

    Mpwayungu yupo sahihi, hii kazi ya ualimu ni ngumu sana

    Mmh 750,000/= kweli?? Hivi kwa mshahara huo huyu mwalimu atakaa ajenge kweli? Au tuseme atafanya kazi miaka mingapi aje angalau kununua gari ya milioni 15? [emoji17][emoji17]
  14. U

    Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

    The subtle Art of not giving a Fu*%k by Mark Manson
  15. U

    Kumbe Shetani Alikuwa Mwandishi wa Habari!, na Alichomfanya Eva Bustani ya Eden ni Uandishi wa Habari?- Je Media Tuombwe Msamaha Kuitwa Shetani au?

    Hawezi kukujibu hilo swali. Tatizo la kutoa tafsiri kwa uelewa binafsi ndio linaanziaga hapo. Kajifanya kaelewa zaidi ya kilichoandikwa ktk Biblia ila trust me.. maswali yoyote utakayomuuliza hatoweza kujibu kamwe sana sana ataishia kukutusi tu
Back
Top Bottom