Ndugu yangu asante sana nimekulewa vizuri sana nimefunguka bakumbwa sana ila
Natamani kujua
Je sasa kwanni tuseme mungu ni mmoja?wakati kila binadamu aliyempokea kristu ni Mungu
Na hapo kwa Mungu baba papoje?kama sisi ni miungu
Je tunahaja ya kuomba miungu mingine?
Mkuu tumia lugha nzuri mbona nitakuelewa tu
Kwanini nani kakwambia wewe umeumbwa ?
Mungu kwenye vitabu vyenu anasema ameumba watu wawili tu
Ogopa matapeli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.