Utajua wewe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2024
- 928
- 1,854
Habari ndugu,
Kuna Viwango vya kiroho(waliopata uamsho wa kweli na enlighted one) ukifika utajua kwamba Mungu unayemwabudu ni wewe mwenyewe.
Tunatofautiana ufahamu na viwango vya kiroho ,ndio maana wengine watakuwa wagumu kunielewa .
Haya mambo ya dini ni mipango ya wanadamu tu wala isikuchanganye.
Jambo kumbwa nikujijua wewe nia nani?
Shida kumbwa ni kwamba watu wengi wanataka kumjua Mungu na huku hawajijui wao ni nani?
Mwanadamu ni zaidi ya huo mwili unao uona na majina.
Imani inabidi uelewe lasivyo utaishia kuwa shabiki.
Mungu unayemtumikia ni wewe mwenyewe.
Siku njema..
Kuna Viwango vya kiroho(waliopata uamsho wa kweli na enlighted one) ukifika utajua kwamba Mungu unayemwabudu ni wewe mwenyewe.
Tunatofautiana ufahamu na viwango vya kiroho ,ndio maana wengine watakuwa wagumu kunielewa .
Haya mambo ya dini ni mipango ya wanadamu tu wala isikuchanganye.
Jambo kumbwa nikujijua wewe nia nani?
Shida kumbwa ni kwamba watu wengi wanataka kumjua Mungu na huku hawajijui wao ni nani?
Mwanadamu ni zaidi ya huo mwili unao uona na majina.
Imani inabidi uelewe lasivyo utaishia kuwa shabiki.
Mungu unayemtumikia ni wewe mwenyewe.
Siku njema..