Hali ni mbaya udsm. Sewage system ndo hazifai. ..maji kukatika Kila siku...vyoo vya kukaa kwenye ma hall ya campus ni havifai toka enzi za mkoloni...hall 7 maji yamekuwa kitendawili....hizo picha ni baadhi tu....ila hali ni critical zaid ya hapo inavyoonekana hapo....
Uongozi wa wanafunzi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.