Huyu jamaa aliwahi kwenda kuangalia wakulima wanavyoteswa na bei za hao fisiem na wanunuzi ni hao hao fisiem na mashamba ya miwa anajua kilio kilichopelekwa huko na mtandao kushusha bei!!?Hapa ndio ujue tuna waandishi wa fisiem
Shida ya mfumo wa nchi za kiafirika unaundwa kulinda viongozi,nafkri ni maumivu ya ukoloni.Hawajaandaliwa kabisa kulinda uchumi wa nchi na kukuza uchumi.Ndio maana wanalinda siasa kuliko bandari,madini,mbuga na vyanzo vingine vya mapato.Hii shida itagharimu sana haswa baada ya mchina mwizi...
Hivi vitu vya wazee nyie ndio mnajua na hamjui siri za humo ndani.Unataka kusema kafanya biashara gani kununua gari ya m 500 na hiyo nyumba na mengineyo nisiweke hapa kwa ajili ya kesho yake.
Sio kwa vile Ndugai alikuwa mshauri wake ameliwa kichwa kiroho na Kimwili kweli.Kipindi cha Magu askof Shoo wa KKKT alivyokuwa anamkoromea Magu hawa walinyamaza na kuunga juhudi mkono.Yakimfika mtu utaskia akilia au kulalamika,sasa huu ndio msimu wenyewe.
Gari nyingi hapo ni kuanzia milioni 200 hadi 500 halafu nikija Dar barabara ya Kibaha hadi Moro ni usumbufu na kuchosha askari kila siku.Hela ya hayo magari 70 tu ingetosha hiyo barabara na kumalizika na chenji ingebaki.Ndio maana huwezi kukuta wale manabii rafiki zake wakiombea watu wawe na akili.
Katika yote usimtaje mtoto wa Malkia ambae ni madhabahu ya kiti,hata M7 alimpokea watu wakashangaa!!.Tundu alimtaja sana sasa yuko kifungoni,Gwajima akamtaja kwa wema tu,makanisa yako kifungoni.Watu wanatekwa na ukosoaji unaendelea,hata akina Paulo na Yohana walikufa ila mpaka leo mambo yako...
Funga kazi ya mbu ni Mwanza Nyashishi,pale kuna mbu kama wanafuga,niliwasha mashine ambayo nasafiri nayo,kwa ajili ya kufukuza mbu bado wakagoma,nikaweka dawa mara tatu wakapungua kidogo.Kesho yake nilihama mwenye ile lodge nikaenda Buhongwa.
Nilifika Njombe hotelin nauliza net iko wapi wakaniambia kaka tunaomba ukalale huku hakuna mbu,Mbeya Mafinga Makambako hali ni hiyo hiyo hakuna mbu,ila kuna ile baridi ya kutesa haswa.
o
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.