Mnunie tu huyo ni bwege kwelikweli.
Yani alishindwa hata kichwa, kichwa Yani kichwa walau kuloweka japo kichwa I mean the tip of the head.
That boy is failure failure failure
Ili update pesa ni lazima utatue matatizo ya watu.
Zanzibar Kuna changamoto ya upatikanaji wa uke sana. Uke haupatikani kizembe huku.
Sasa tafuta mabinti 10 wazuri sana njoo nao Zanzibar wapangishie vyumba. Chumba kimoja watalala wawili.
40k × 5 × 2 months = 400,000/=
Nunua magodoro madogo...
Nani alivikusanya hivo vitabu 66 na kuvifanya kuwa kitu kimoja?
Ukileta majibu hapa basi tutapata uhalali wa kujudge ukusanywaji wa Aya za Quran ambazo zilikuwa kichwani Kwa maswahaba na kuwa kitabu kimoja
Quran lazima isomwe Kwa kiarabu.
Kuswali tunaswali Kwa kiarabu.
" watu kujifunza lugha nyingine mpya, ambayo LAZIMA aelewe kwanza hiyo lugha ndiyo ataelewa yanayofundishwa kwenye hiyo dini. "
Kwenye uislamu tu ndo linashida? Ila tukifundishwa physics Kwa kingereza ni sawa😂
Ni sawa.
Lakini huyo mwana, roho na mtakatifu nae si mnamuomba Kwa kiswahili?
Si ni huyo huyo mwana, roho na mtakatifu ambae wanamuomba Kwa lugha ya kingereza na lugha zingine kule Vatican.
😀 Ebwana kuwa serious.
Sio Mimi hayo ni maneno ya wakristo wenzako
Lakini kama yesu alishushiwa Injili hii bible imetoka wapi?
Kwa Imani yangu Mimi najua mussa alishushiwa torati, haya ya mwanzo, walawi na kutoka siyafahamu labda unielekeze.
Alafu Kwa Imani yako Injili ni nini?
Kuna kitu nataka kujifunza
Nakuelewa sana lakini madhara yake ni kama yafuatayo
1. Kuna lugha hazijakamilika katika misamiati kitu ambacho kinaweza kubadili maana halisi. Mfano mzuri hichi kiswahili Kuna baadhi ya maneno ya kingereza hayana kiswahili chake
Quran haisomwi Kwa lugha yeyote isipokuwa kiarabu.
2...
Hahahah hiyo original sidhani kama utaipaita Kwasababu Kuna mwenzako alisema
Wachambuzi walikaa wakachakata torati, Injili na zaburi wakaifanya ikawa bible.
Tunaposema kuchakata Kwa muktadha huu tunamaanisha kuchukua yanayotupendeza na kuachana na yasiyotupendeza
Mind you torati, Injili na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.