Recent content by usinisogeze

  1. U

    Nehemia Mchechu ni kiongozi mwenye maono

    Hivi mnajua ule mradi NHC Kigamboni, ilikuwa issue yake wakapiga waziri Anna Tibaijuka. Acheni kusifia pumba.
  2. U

    Kwa aina ya mpira anaocheza Kylian Mbappe, atapotea baada ya kufikisha miaka 30

    Jamani striker anastahili yake uchezaji na hata chenga, sio lazima wafanane. Kuna goal better, ambao mnawaita haters sijui na kuna wengine yeye ndiye anaanzisha mashambulizi na kufunga hao ndio akina Ronaldo, Mbappe nk.
  3. U

    Waraka wa Diwani mstaafu wa CHADEMA kwa Tundu Lissu

    Wazungu/Mabeberu wanatumia ujinga na umaskini wetu kutugawa. Angalia Libya.
  4. U

    Waraka wa Diwani mstaafu wa CHADEMA kwa Tundu Lissu

    Kashfa yake ni kusaidia wazungu ili tuendelee kuibiwa madini yetu kwa maslahi binafsi.
  5. U

    Waraka wa Diwani mstaafu wa CHADEMA kwa Tundu Lissu

    Mbona Trump angalia kuibiwa kura kama CHANGADEMA mnavyolia. Kwanini isiwe sawa na uchaguzi wa Tanzania?
  6. U

    Uchaguzi 2020 Majimbo zaidi ya 11 ya mikoa ya Lindi na Mtwara hatarini kupotea

    Aisee hivi kwa nini unawaita wajinga, usiwe mjinga kiasi hicho ni wapi ambao sio wajinga?
  7. U

    Uchaguzi 2020 Majimbo zaidi ya 11 ya mikoa ya Lindi na Mtwara hatarini kupotea

    Tunaomba Rais atumie hata chopa kunusuru hayo majimbo. Maana sauti ya baba ina faraja kubwa kuliko sauti nyingine. Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, tafadhali tumia busara zako, kwenye siku 10, zilizobaki tumia siku 3 (tatu) kwenda kwenye mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma ili angalau wakuone kuwa una...
  8. U

    Uchaguzi 2020 NEC: Mawakala wataapishwa siku saba kabla ya uchaguzi

    Hivi wewe unajiona una sura nzuri, na mwanaume uwe na sura nzuri ili iweje? Au ndio zenu za jinsia moja?
  9. U

    Watu wa Dar mnazidi kutuangusha upinzani, sijategemea

    Wakazi wa Dar sio wajinga kiasi hicho, wao wanaangalia maendeleo na sio mihemko ya kisiasa kama ilivyokuwa 2015.
  10. U

    Uchaguzi 2020 Sababu za anguko kubwa la Vyama vya Upinzani 28 Oktoba 2020

    Sababu zako karibu zote hazina mashiko, kwa mfano kwenye majiji la Dar msitegemee hali ya 2015 na Mbeya ni 50/50 na huku kaskazini labda Kilimanjaro lakini Arusha na Manyara ngoma bichi kwa CHADEMA. Na huko kusini ndio kabisa Wala msijipe matumaini.
  11. U

    Je, 'Uhalifu' nchini Tanzania 'umepungua' kama si 'kumalizika' kabisa hadi hawa 'Jamaa' wageukie huku ghafla?

    Brother fafanua usalama upi, maana sasa hivi wafanyabiashara wanafanya biashara zao hadi usiku wa Saa 3 na hatijasikia kuvamiwa. Labda utueleze wewe Tanzania sio salama kivipi, maana umeleta hoja isiyo na mashiko brother, au wewe inawezekana haupo Tanzania nini?
  12. U

    Kwenye Nchi atakayoongoza Rais Lissu hakutakuwa na kulipa kodi yoyote maisha yatakuwa kama peponi!

    Hakunaga Uhuru duniani, hata kwa wazazi wako kuna Sheria na utaratibu.
  13. U

    Kwenye Nchi atakayoongoza Rais Lissu hakutakuwa na kulipa kodi yoyote maisha yatakuwa kama peponi!

    Ni kweli kabisa, ila wafuasi wake wanajitoa ufahamu. Mara kibao amekuwa akihutubia kwenye kampeni. Hebu wawekee moja kati hotuba zake, ili akili ziwakae sawa.
Back
Top Bottom