Recent content by usinisogeze

  1. U

    Kabendera amechukua "risk" iliyopitiliza. Atawaambia nini watu endapo Ben Saanane au Azory Gwanda watarejea uraiani?

    Kama hamuysjui yaliyopo nyuma ya pazia basi bora kunyamaza, ishu ya Utete na Ikwiriri ilikuwa nzito na ilitakiwa maamuzi mazito. Swali huyo Azory Gwanda alikuwa anaripoti kwa nani?
  2. U

    Hachafuliki: Tunampenda Rais Dikteta na Kichaa Aliyefanya haya

    Ili wananchi milioni 60 waweze kuishi kwa amani ni lazima wasiokuwa na upendo na nchi wafe. Uingereza ili prince Diana, kwa kuwa alitaka kuolewa na mwarabu Waarabu walimua Mwandishi wa habari Kashoki kulinda Taifa Lao. Hivyo hakuna uongozi unaochekea upumbavu. Okay, wewe unaangalia mambaya...
  3. U

    Kama Lissu hakujifunza kwa Zitto, ajifunze kwa Dkt. Mpango

    Kwani sasa sio billionaire, hivi unamwangaliaje, wewe unafikiri ni mwenzako huyo?
  4. U

    Mchungaji asema Mbowe ni tapeli hawezi kupigania Katiba Mpya itakayoleta ukomo wa uongozi wakati yeye miaka 20 na hana Mpango wa kuachia Uongozi

    Demokrasia happy hivyo ya kuachiana sunduku la kura ndio mwamuzi. Maana in a one kana mnakariri ya upande wa kijani.
  5. U

    Nehemia Mchechu ni kiongozi mwenye maono

    Hivi mnajua ule mradi NHC Kigamboni, ilikuwa issue yake wakapiga waziri Anna Tibaijuka. Acheni kusifia pumba.
  6. U

    Kwa aina ya mpira anaocheza Kylian Mbappe, atapotea baada ya kufikisha miaka 30

    Jamani striker anastahili yake uchezaji na hata chenga, sio lazima wafanane. Kuna goal better, ambao mnawaita haters sijui na kuna wengine yeye ndiye anaanzisha mashambulizi na kufunga hao ndio akina Ronaldo, Mbappe nk.
  7. U

    Waraka wa Diwani mstaafu wa CHADEMA kwa Tundu Lissu

    Wazungu/Mabeberu wanatumia ujinga na umaskini wetu kutugawa. Angalia Libya.
  8. U

    Waraka wa Diwani mstaafu wa CHADEMA kwa Tundu Lissu

    Kashfa yake ni kusaidia wazungu ili tuendelee kuibiwa madini yetu kwa maslahi binafsi.
  9. U

    Waraka wa Diwani mstaafu wa CHADEMA kwa Tundu Lissu

    Mbona Trump angalia kuibiwa kura kama CHANGADEMA mnavyolia. Kwanini isiwe sawa na uchaguzi wa Tanzania?
  10. U

    GE2020 Majimbo zaidi ya 11 ya mikoa ya Lindi na Mtwara hatarini kupotea

    Aisee hivi kwa nini unawaita wajinga, usiwe mjinga kiasi hicho ni wapi ambao sio wajinga?
  11. U

    GE2020 Majimbo zaidi ya 11 ya mikoa ya Lindi na Mtwara hatarini kupotea

    Tunaomba Rais atumie hata chopa kunusuru hayo majimbo. Maana sauti ya baba ina faraja kubwa kuliko sauti nyingine. Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, tafadhali tumia busara zako, kwenye siku 10, zilizobaki tumia siku 3 (tatu) kwenda kwenye mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma ili angalau wakuone kuwa una...
  12. U

    GE2020 NEC: Mawakala wataapishwa siku saba kabla ya uchaguzi

    Hivi wewe unajiona una sura nzuri, na mwanaume uwe na sura nzuri ili iweje? Au ndio zenu za jinsia moja?
  13. U

    Watu wa Dar mnazidi kutuangusha upinzani, sijategemea

    Wakazi wa Dar sio wajinga kiasi hicho, wao wanaangalia maendeleo na sio mihemko ya kisiasa kama ilivyokuwa 2015.
Back
Top Bottom