Jamani striker anastahili yake uchezaji na hata chenga, sio lazima wafanane. Kuna goal better, ambao mnawaita haters sijui na kuna wengine yeye ndiye anaanzisha mashambulizi na kufunga hao ndio akina Ronaldo, Mbappe nk.
Tunaomba Rais atumie hata chopa kunusuru hayo majimbo. Maana sauti ya baba ina faraja kubwa kuliko sauti nyingine.
Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, tafadhali tumia busara zako, kwenye siku 10, zilizobaki tumia siku 3 (tatu) kwenda kwenye mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma ili angalau wakuone kuwa una...
Sababu zako karibu zote hazina mashiko, kwa mfano kwenye majiji la Dar msitegemee hali ya 2015 na Mbeya ni 50/50 na huku kaskazini labda Kilimanjaro lakini Arusha na Manyara ngoma bichi kwa CHADEMA. Na huko kusini ndio kabisa Wala msijipe matumaini.
Brother fafanua usalama upi, maana sasa hivi wafanyabiashara wanafanya biashara zao hadi usiku wa Saa 3 na hatijasikia kuvamiwa. Labda utueleze wewe Tanzania sio salama kivipi, maana umeleta hoja isiyo na mashiko brother, au wewe inawezekana haupo Tanzania nini?
Ni kweli kabisa, ila wafuasi wake wanajitoa ufahamu. Mara kibao amekuwa akihutubia kwenye kampeni. Hebu wawekee moja kati hotuba zake, ili akili ziwakae sawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.