Kinambeu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 906
- 454
Taarifa zilizo rasmi za kiutafiti katika mikoa ya LINDI na Mtwara yapo majimbo takriban 11 ambayo yapo hatarini kupotea. Majimbo hayo ni kama ifuatavyo,
1. Kilwa Kaskazini
2. Kilwa Kusini
3.Nachingwea
4. Lindi Mjini
5. Liawale
Kwa upande wa Mkoa wa Mtwara ni,
1. Mtwara Mjini
2. Tandahimba
3. Newala Mjini
4. Masasi Mjini
5. Newala Vijijini
Lakini mengine bado utafiti wake unaendelea ambayo yatatolewa report zake kamili ndani ya siku 3. Majimbo ambayo utafiti unaendelea ni Mtwara Vijijini, Nanyamba, Nanyumbu, Mchinga na Ndanda.
Chanzo kikuu cha mambo kwenda mrama ni kusimamisha wagombea wasiokubalika, waliochoka na wasio na mvuto. Chama cha Mapinduzi turufu iliyobakia ni kuja kwa Mukulu lakini baada ya kusema hatokuja mikoa ya Kusini Hali ndio imekuwa Ngumu na wapinzani wakishangilia.
Kwa mfano jimbo la Kilwa Kusini Mgombea aliyeongozwa alikatwa na kuteuliwa wa nne aliyepata kura 12 tu, Liwale pia hivyo hivyo, Kilwa Kaskazini nako ni hivyo hivyo. Mtwara Mjini nako mgombea aliyeshinda alikatwa, Tandahimba nako alikatwa, Newala Vijijini pia alikatwa.
Bwege wa Kilwa Kusini tayari mguu mmoja upo bungeni maana kazi kwake ni rahisi mnoo.
Naomba kuwasilisha.
1. Kilwa Kaskazini
2. Kilwa Kusini
3.Nachingwea
4. Lindi Mjini
5. Liawale
Kwa upande wa Mkoa wa Mtwara ni,
1. Mtwara Mjini
2. Tandahimba
3. Newala Mjini
4. Masasi Mjini
5. Newala Vijijini
Lakini mengine bado utafiti wake unaendelea ambayo yatatolewa report zake kamili ndani ya siku 3. Majimbo ambayo utafiti unaendelea ni Mtwara Vijijini, Nanyamba, Nanyumbu, Mchinga na Ndanda.
Chanzo kikuu cha mambo kwenda mrama ni kusimamisha wagombea wasiokubalika, waliochoka na wasio na mvuto. Chama cha Mapinduzi turufu iliyobakia ni kuja kwa Mukulu lakini baada ya kusema hatokuja mikoa ya Kusini Hali ndio imekuwa Ngumu na wapinzani wakishangilia.
Kwa mfano jimbo la Kilwa Kusini Mgombea aliyeongozwa alikatwa na kuteuliwa wa nne aliyepata kura 12 tu, Liwale pia hivyo hivyo, Kilwa Kaskazini nako ni hivyo hivyo. Mtwara Mjini nako mgombea aliyeshinda alikatwa, Tandahimba nako alikatwa, Newala Vijijini pia alikatwa.
Bwege wa Kilwa Kusini tayari mguu mmoja upo bungeni maana kazi kwake ni rahisi mnoo.
Naomba kuwasilisha.