Kwangu mm naona kama ni wizi tena wa khari ya juu sana.Hiyo hela ni kubwa sana kwa mtanzania wa kawaida nasema hivyo kwa maana kwamba kuna wengine hata mia moja hawaioni kwa siku,atakuwa na haja hata ya kuweka hela bank?.Na isitoshe hata hiyo riba ambayo wanatoza wakikupa mkopo ni kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.