Mwaka 1994 wakati naenda kuripoti shule kwa usafiri wa train nilipofika Dodoma nilinunua losheni aina ya top society kumbe losheni hiyo chini ulitangulizwa uji harafu juu ndo wakajazia vilosheni. Nilipofika shule nikaenda kuoga baada ya kuoga nikaenda bwenini tayari kwa kujipodoa nikachukuwa...
Wampatie tu rambirambi yake, siku akifa kweli watakuwa wamemalizana naye hakuna kuchanga tena rambirambi
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Wazazi umewaweka kwenye mtanziko mkubwa kwa ukimya wako wa kutotangaza selection ya wanafunzi kwa mwaka 2023/24, hapa tulipo tuko njia panda, maana hatuelewi kinachoendelea huko.
Tujulisheni kama serikali imesitisha kudahili wanafunzi wa kidato cha tano na vyuo vya kati mwaka huu ili tuone cha...
Nawaombeni wale ambao wapo karibu na maafisa wa TAMISEMI wanaohusika na kutangaza wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato Cha Tano na vyuo watangaze ili sisi wazazi tujiandae kutafuta ada na mahitaji mengine maana ukimya umekuwa mkubwa mno.
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
7. Zainabu Kawawa
8. Tano Mwera
9. Shimo alikuwa Geita
10. Abbas Kayanda
11. Kiswaga alikuwa Kahama
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.