Kupata kitambulisho cha ZAN ID kwa mtanganyika ni rahisi zaidi kuliko kupata NIDA. Hakuna ushuru wa matabaka.Umiliki wa ardhi unatakiwa kua na kitambulisho cha mzanzibari kwa Mtanzania yeyote ndani ya Zanzibar, hii ni kwa watanganyika na kwa wazanzibari wenyewe.Ajira za SMZ pia zinahitaji Zan...
Watanganyika wanapotosha sana.
Mosi: Afya sio suala la muungano. Kwa muktadha huo lazima kuwe na utaratibu. Na nyerere alielewa.
Pili: Kwa miaka mingi sasa Uzanzibari , limeondoshwa neno asili ili kuepuka huo ubaguzi.
Tatu: Fahamu nani Mzanzibari? Mzanzibari ni yeyote mwenye kitambulisho cha...
Hizi ni propaganda ili kupata uhalali wa kuwanyima fursa. Trust me hizi zins mwisho.Ambacho huelewi wabongo wengi walidhani wazawa ni wapemba , kimsingi wapemba walisha salim amri na kauli hizi kitambo ndio mana mnawaona sana wakifanya biashara. Hivi mnaelewa wazawa wa maenei hayo ya hoteli ni...
Povu lote hili ni kua Rais wa JMT ni mzanzibari.Haikutokea bahati mbaya hiyo ni katiba.Ushauri wangu kuweni wastahmilivu kwa kipindi kilichobaki. Ikifika 2030 mnaweza badilisha katiba na mutupe nafasi wazanzibari munayo ona inafaa kwetu.Imekua kero sasa kwenye mitandao kwenye vikao vya...
Kuna kitu sielewi, Wanoshabikia awamu ya mwenda zake wengi wao ni watu roho mbaya ,sura ngumu yaani ile mijitu katili inayo jifanya mema mbele za watu .Sura ngumu .Watu moderate and low huezi kuta group hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.