Recent content by Ushora Ndago

  1. Ushora Ndago

    Wananzengo tuingie "field" kuusaka ugomvi binafsi kati ya Rais Magufuli na Benard Membe

    Tatizo Bwana Maembe alitaka kuuaminisha umma kua yeye ni zaidi ya taasisi CCM ! Aliwavimbia viongozi kwa kauli za kejeli kama niguse ninuke, sasa sijui wameanza kunuka ? Walianza kusema oooh eti mzee Mangula kachoka hamuwezi bwana yule...subiri tuone
  2. Ushora Ndago

    CCM yamfukuza uanachama Bernard Membe, Kinana apewa karipio kali huku Makamba akitoka salama

    Kwa kifupi BM kwishney ! CCM ni taasisi kubwa sana kuweza kutingishwa ba mtu mmoja na kakikundi kake, eti sijui nani, eti ninihii mbobezi ! Ngoja aone hao nanii wabobezi watakavyo lalanae sambamba ! EL aliyepata kura milioni sita 2015 mwenyewe ali surrender 🙌 itakua kidagaa huyu !
  3. Ushora Ndago

    80% ya Watanzania waliokataa mfumo wa vyama vingi walikuwa sahihi, kizazi cha Upinzani wa kweli bado hakijazaliwa

    johnthebaptist, Yaani washukuru hata hayati baba wa taifa aliamua awape nafasi ! Leo hii tunashuhudia upumbavu wa kutosha upinzani ! Wapiga Dili mno ! Wacha turudi chama kimoja kama china! Hapo hata uwe nani ukiharibu adhabu ni kali sana ! Hata kunyongwa, ndio tutapiga hatua ! Hakuna kucheka...
  4. Ushora Ndago

    Erick Kabendera aachiwa huru baada ya kukiri makosa na kufutiwa shtaka

    Wee acha tuuu ! JPM alisha sema watazitapika ! No nonsense!
  5. Ushora Ndago

    Erick Kabendera aachiwa huru baada ya kukiri makosa na kufutiwa shtaka

    Wacha nimaemee ! HE/SHE IS WHO HE/SHE IS !
  6. Ushora Ndago

    Dodoma: Jeshi la Polisi lamuita Cyprian Musiba kwa mahojiano kuhusu tuhuma za kutaka kuuawa

    🤣🤣😂😂🤣🤣 yaani chama kile kinatwanga kivuli chake ! Kipanya bana ! Acha hizo banaaa !!
  7. Ushora Ndago

    CUF sasa yatishia kuwafukuza wabunge wake kwa kutochangia shs 1,250,000 kila mwezi kama mbunge. Lipumba na Sakaya watishia kuwanyima mafao yao

    Hela ya CCM inakuumia nini jamaniiii? Ya chadema inapigwa na yule bwana mbona husemiii !!!!
Back
Top Bottom