Recent content by Usher-smith MD

  1. Usher-smith MD

    Rais Samia atoa tsh 66 billion Kurekebisha Miundombinu iliyoharibiwa na mvua

    Serikali iige kama Samia, nayo itoe hela, maana inamtegea
  2. Usher-smith MD

    Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

    Hajawataja hao mawaziri anaomtukana Rais, ndio kosa lake hilo.
  3. Usher-smith MD

    Wanyiha, ni watu wagumu sana mapenzini. Acha waoane wao kwa wao

    Naona kabila langu linashambuliwa
  4. Usher-smith MD

    Wanyiha, ni watu wagumu sana mapenzini. Acha waoane wao kwa wao

    N Kwa niaba ya Wanyiha, nasema sio kweli hizo sifa.
  5. Usher-smith MD

    Nimelikataa jina walilonipa wazazi wangu

    Mzigowapumbu Misulupwete , hili jina alipewa mtu mmoja hivi alitrend sana 2015
  6. Usher-smith MD

    Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

    Kama mapadri na watawa wapo single na wanahudumu kanisani, naye yupo sawa tu. Cha msingi mchungaji asiwe na boyfriend tu
  7. Usher-smith MD

    Hizi kodi zinalipika vipi jamani?

    Bado Tozo ya 2000 kila laini ya simu itaanza , hapo luku unamlipia mwenye nyumba 1500 kila mwezi
  8. Usher-smith MD

    Tafakuri: Madaktari bingwa wa wanawake kuwa wanaume imekaaje?

    Hata usituonee wivu kaka, hatufaidi chochote aisee 😂😂😂
  9. Usher-smith MD

    Uwezo wa Waziri Ndumbaro ni Mdogo Sana

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  10. Usher-smith MD

    Serikali ipongezwe kwa hili la jambo la Bima

    Na kesho serikali ikikubali matakwa ya APTHA utakuja kupongeza hapa [emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom