Recent content by Uri

  1. U

    Bajeti ya kuendelea kugharimia safari za Jakaya Kikwete imetoka wapi?

    Kaka, upo sahihi sana. Hii JF ni ya watu wazima na makini sio hao wanaoleta mambo ya FB humu ndani. Hawawezi kujibu hoja kwa hoja bali vijembe vya kipuuzi kama wakuna nazi.
  2. U

    Nadharia tatu zitakazo mtoa Lowassa kwenye mbio za urais-2015

    Kaka nimekusoma nikakuelewa na ninakuunga mkono Mia kwa Mia. Tatizo ni sisi waTanzania. Nimekutana na Watu wasomi nikifikiri wana akili kumbe ovyo - eti hakuna mtu Tanzania sasa hivi anaweza kutuongoza ila EL peke yake!!!! Fikira hii ni upumbavu au?
  3. U

    Hivi ndivyo viwango vya elimu vya 'majembe' ya CHADEMA!

    dudus hapo juu nakuunga mkono 100 kwa 100
  4. U

    Sheikh Farid amewahi kutumikia Jeshi la Qatar

    acha unafiki mbwa koko wewe tena nguruwe wa kisiwani zanzibar
  5. U

    Sheikh Farid amewahi kutumikia Jeshi la Qatar

    kama maelezo yako yanaonesha kuwa ubaguzi, chuki na ubinafsi ni vitu usivyovipenda, sasa kwanini unatumia lugha hiyo kuwakashifu Watanganyiaka kwa matusi na lugha ya ubaguzi? Acha unafiki wewe ndio ****** na sisi masha zenu maana huo uchafu wa kulalwa na wanaume ulianza na umeshamiri mno...
  6. U

    CHADEMA wako tayari kumpokea Lowassa

    Mzee Mtei, Mzee Makani, Dr. Slaa na Kamanda Mbowe kamwe hawataweza kuiangusha CDM kwa kumkaribisha Lowassa hata kama kasha alizonazo si za kweli kwa sababu kisiasa ni kifo kwa CDM. Hatuwezi kuua CDM kwa mtu mmoja kama Lowassa ukizingatia CDM imetambulika na kukubalika na watanzania bila msaada...
Back
Top Bottom