Recent content by uraa uraaaa

  1. uraa uraaaa

    Trump aipiga mkwara Greenland (Denmark) na NATO kuhusu vita ya Iran. Iran yasema safari hii itailinda NATO

    Rus Russia hii hii unayoijua ulisha wahi kuskia mrusii ameua kiongozi yoyote wa Ukraine 🇺🇦?
  2. uraa uraaaa

    Trump aipiga mkwara Greenland (Denmark) na NATO kuhusu vita ya Iran. Iran yasema safari hii itailinda NATO

    Kama ilivyo kwa yule ngedere huko yukrein wali mtoa kutoka kwenye fani yake ya uchekeshaji wakampa madaraka ya kuongoza nchi mwisho yukrain inawaka moto na ardhi ina megwa kwa ajili ya mjinfa mjinga comedian 😆 😄
  3. uraa uraaaa

    Iran yaushambulia kwa bomu Uwanja wa ndege wa Dubai leo, Machi 7, 2026

    Kama una jijua nchi yako imekubali kuweka kambi za kijeshi za marekani wewe ni halalali yako kula kipondo cha mabomu kutoka irani kama hupendi klipuliwa na mabomu ya irani ondoa kambi za marekan kwenye nchi yako usiwe chawa wa marekani
  4. uraa uraaaa

    Iran imesitisha mashambulizi kwa nchi za kiarabu kwa masharti. Mashambulizi kwa Israel na Marekani yataendelea kama kawaida

    Kwa hiyo unge Acha kambi za Marekani zilizopo hapo Qatar na Oman ziendeleee kutumika kuishambulia nchi yako wewe kama mwana mikakati wa mchongo kutoka mbagala kimbangulile
  5. uraa uraaaa

    Hizo propaganda zina mwisho wake mmoja au wawili lazima anywe kikombe

    Ishu sio Trump... Huo ni mfumo wao tokea marekani ipate uhuru mwaka wa 1776 kutoka kwa wafaransa na uingereza .....nchi ya marekani inaendeshwa kupitia vita ...... Ni sawa na tanzania vijana wanaandamana wakisema mama samia must go huku wamesha sahau bila kuuondoa mfumo wa CCM bado...
  6. uraa uraaaa

    Trump akiombewa ili Mungu awaongoze kwenye hii vita

    Duhh :(:rolleyes: kumbe manzi So jimbo lipo waziii ama ?
  7. uraa uraaaa

    Trump akiombewa ili Mungu awaongoze kwenye hii vita

    Ukigongewa mkeo ukaonyeshwa video yake pia utassema ni Eeiii Aiiii Bullshit
  8. uraa uraaaa

    Rasmi; Iran yafunga mfereji wa Hormuz kusafirisha mafuta kwa meli za Marekani, Israel, Ulaya na washirika wao

    Dua la kuku endelea kuota ndoto za mchana utakojoa kwa bed amka
  9. uraa uraaaa

    Iran Kisha Fanya Majaribio ya Nuclear

    Acha ushamba mbona hawajazimq hayo majaribio ya irani kama kweli wana hiyo technology ya kuzima majaribio ya irani
Back
Top Bottom