Pole sana,
Wakati unaendelea kutafuta ufumbuzi zaidi wa tatizo lako jitahidi uwe na vyuma vya kufanya mazoezi ilikuweka mwili sawa madhara ya kukabwa na kukandamizwa usiku yanaleta magonjwa..
Na uchovu ambao utakufanya usijishughulishe na kazi yoyote kukicha, ukiamka mapema fanya mazoezi...
USINUNUE ARDHI BILA KUWA NA MAJIBU YA MASWALI YA FUATAYO.
1Je eneo limepangiwa matumizi gani kitaalamu? isije ikawa unanunua eneo la makaburi au viwanda na wewe una lengo la kufanya makazi, itakula kwako.
2Je eneo linasifa ya kupimika iliupate hati miliki?
3Je eneo husika lilishawahi kupimwa au...
Kwako Mwananchi,
Nchini kwetu kumekua na migogoro mingi au usumbufu mwingi wa masuala ya ARDHI, Moja ya sababu inayochangia migogoro mingi ya ardhi Nchini ni kununua eneo la Ardhi kimazoea au kiholela. Mfano ( A) Imezoelekea kununua eneo la Ardhi kwa kushirikisha Serikali ya mtaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.