Recent content by upangaj

  1. U

    Muuza madafu Ikulu nimekuja kujibu maswali yenu

    unajibu kikamandoo siyo kimadafu madafu bro
  2. U

    Muuza madafu Ikulu nimekuja kujibu maswali yenu

    umejiunga lini humu wewe?
  3. U

    Kijana wangu anapenda kusomea aircraft engineering au Urubani

    niliongea na DG mmoja anayepekeka watu nje masomoni aliniambia vijana wengi waliosomea hzo course wapi jobless kwn nje hawachukuwi kwa sababu ya usalama wa nchi I am tired
  4. U

    Kijana wangu anapenda kusomea aircraft engineering au Urubani

    shukrani kwa ushauri locomotive course ni mambo ya train au nimeelewa tofauti, naweza pata contact ya mtu wa aircraft au pilot if any niwasiliane nae natanguliza shukrani in advance
  5. U

    Kijana wangu anapenda kusomea aircraft engineering au Urubani

    Hello wanachama wenzangu habari za leo, Kijana wangu anapenda kusomea Aircraft Eng au U pilot, kwa sasa sina hakika na suala la ajira kwa hapa nyumbani na kuna mtu ameniambia hata nje ya nchi ni ngumu kupata kazi kwa sababu za kiusalama, naomba kujuzwa je, ni kweli ajira ni tatizo hapa kwetu...
  6. U

    Nashindwa kulipa kupitia Vizacard mtandaoni

    Hilo ninalifahamu nimetaka kulipa tsh362,700 na kwenye cm kuna 450,000 visa card ya benk account ina 3m lakini bado ni shida
  7. U

    Nashindwa kulipa kupitia Vizacard mtandaoni

    Ndugu zangu nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nimepatwa na changamoto ya kushindwa kulipia malipo mtandaoni kupitia visa card, nimetumia card ya TIGO,VODA na CRDB lakini nimeshindwa kufanikiwa kwa muda wa wiki moja sasa hata hivyo mwanzoni malipo yalikuwa hayasumbui...
Back
Top Bottom