Recent content by unywele

  1. U

    Msaada: Mbwa wangu anaumwa pavo

    Safi sana...Nimeipenda..naamin tutashauriana vingi na sote tutaenjoy na mbwa wetu...japo sijajua nawezaje kuliaccess hilo group....naomba unielekeze namna ya kujoin na kuchangia kene hilo group. Asante.
  2. U

    Msaada: Mbwa wangu anaumwa pavo

    Asante mkuu... Say hi to ur mbwa... Uniazime one day
  3. U

    Msaada: Mbwa wangu anaumwa pavo

    Mmmh kazi ipo!!... Nan kasema kaagiza kutoka Ujeruman...??
  4. U

    Msaada: Mbwa wangu anaumwa pavo

    Aisee...so wako alipona...? Chanjo ya pavo ni muhimu sana yan. I wish km ningekuwa nimemchoma chief wangu. But all in all ameniachia funzo kubwa tu
  5. U

    Msaada: Mbwa wangu anaumwa pavo

    Yap naungana na ww kaka...hata yule dr. Alisema kuwa huu ni ugonjwa mbaya sana..alaf kuna mtu juu aliniuliza km niliyemleta amtibu alikuwa ni dr.kwel au kishoka...huyu ni dr.wa wanyama aliyesomea kabisa na amefanya kaz kwa zaid ya miaka 20 na bado anafanya ...km ww ni mkaz wa maeneo ya Sinza...
  6. U

    Msaada: Mbwa wangu anaumwa pavo

    Kama hujui kitu sio lazima kuongea....na km ungekuwa unafahamu aina za mbwa ungekuwa umeshanielewa... by the way hakuna sehemu niliyosema mbwa wangu hakuwa wa kawaida...au kuna sehemu nilisema ana miguu sita tofaut na wengine...???? Au ndo wale wa kufos kuchangia mada hata km hauna uelewa...
  7. U

    Msaada: Mbwa wangu anaumwa pavo

    Asanten kwa ushauri...mbwa wangu alikuwa anaitwa "chief" amefarik...leo nimetoka kazin nikapewa hyo taarifa...imeniuma sana yan. Coz Chief alishakuwa part ya familia. But natafuta mwingine. Na nimejifunza kitu na hata kwa wengine pia....kuwapa mbwa chanjo mapema iwezekanavyo...usiseme nitampa...
  8. U

    Msaada: Mbwa wangu anaumwa pavo

    Asante sanaa sanaa yan Uso wa nyoka
  9. U

    Msaada: Mbwa wangu anaumwa pavo

    Habari wanajamvi. Mimi nina umbwa wangu aina ys Germany S. ana miez 3, kwa bahat mbaya sikuwa nimemchoma chanjo ya pavo ila za minyoo nilikuwa namchoma. Sasa hv anaumwa na kuna daktar nimemwita amesema ni pavo...coz alianza kuwa mpole juz na jana akawa anaharisha minyoo na kutapika...then jion...
  10. U

    Tanzania Postal Bank (TPB) wanatoa commission tu

    Mkataba uko kwenye hard copy na ni page 8...so sijui niuekeje hapa sasa....bt labda nijaribu kupiga picha sehemu tu za mkataba huo then nieke hapa...ila hazitokuwa na quality nzur...
  11. U

    Akipatwa na hofu, tumbo linamuuma, kichefu chefu na anatapika

    mmmh nadhani i hav tatizo km hilo ila tofaut ni kuwa mm sitapiki...bt hata bb yangu mzaa mama yupo na ana tatizo km langu....ni hv, mm nikipata mshtuko au taarifa yote mbaya tumbo linauma hapo hapo na lazma nitaenda toilet coz naanza kuendesha ghafla....mf nilipokuwa chuo matokeo yakitoka lazma...
  12. U

    Form six leaver, natafuta ajira

    Google restless development tanzania then nenda sehemu ya jobs / work with us....hawa jamaa wanatoaga chans ya kuvolunteer kwa form six leaver bt kuna allowance unakuwa unapewa....ni nzur coz hata mm nilipomaliza six nilifanya nao for 5 months had chuo kilipofunguliwa....ni nzur sana km sikosei...
  13. U

    Kero tunazopata kwenye Nyumba za kupanga

    Heheheh duh....umenifurahisha kwa kwel
  14. U

    Kero tunazopata kwenye Nyumba za kupanga

    Heheh Sasa umenifanya na mm niimagine then nimeanza kucheka
Back
Top Bottom