Tanzania tumebahatika kupata makardinali watatu lakini waliopo ni hao wawili baada ya kardinali wa kwanza mwafrika kufariki lakini hao wawili waliobaki wanaruhusiwa kwenye conclave yaani wana hadhi ya kumchagua papa na wao kuchaguliwa kwasababu ya umri wao ni chini ya miaka 80 kadiri ya sheria...
Ukardinali haurithishwi na wala haumaanishi una hadhi ya kuwa majimbo makubwa tu hapana. Hicho ni cheo cha hadhi ya ushauri kwa baba mtakatifu na si sehemu ya madaraja ndani ya kanisa yaani ushemasi upadre na uaskofu
Nakumbuka siku ambayo headmaster alikuja ucku bwenn kuja kuvizia vijana wasioenda prepo. Kilichotokea alipofika mlangoni akashangaa taa za dom zimezimwa ghafla na nikamfunika kwa blanket wakati anahangaika kutoa akapigwa ngwala akaanguka wadau tukasepaaa yeye akabki kusema washenziiiii sanaaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.