Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Mimi nilkuwa mtaalam Wa mathematics primary na olevel,nkapangwa arusha tech nikawa nasoma mifano ya mwalimu tu kwenye topic ya differentiate na nini huko nikawa naona wengne tukiwa vyumban muda wote wanakomaa na mathematics nikawa najiulza wameshndwaje kuelewa haraka,ulipo fika mtihan nkakutana na concept tofauti za maswali wakat topic n ile ile
 
Kuna jamaa alikuwa anatufundisha physics secondary yupo vzuri sana,ila tulipokuja kuuliza tukaambiwa form six PCM alichemka hakuvuka alifeli.basi niliogopa sana kwa hizi stories nikaona isiwe tabu nikamuacha pwana physics...
Advance kwa ujumla kwa comb za PCM, PCB, PGM huwa inashika watu sana...

Unakuta mtu katoka o-level na One kali, akija Advance anashikwa anaishia kupata three au four.

Ukikomaa na ukiwa strategic, one kuipata ni rahisi sana Advance.
 
Aisee mie nakumbuka mwaka 2008 kwenye paper la necta physics 3 niliingia kwenye paper kwa bwebwe zote za duniani maana nilikuwa mtaalam wa kufoji maswal ya practical hasa yale ya mechanics na current
Nakumbuka mpk mda wa mtihani unaisha nilifanya maswal mawil tu na sikuwa na uhakika nayo kma nmepata Yale maswali maana swali la heat lilinitoa jasho mpaka nikalipotezea tu
 
Advance kwa ujumla kwa comb za PCM, PCB, PGM huwa inashika watu sana...

Unakuta mtu katoka o-level na One kali, akija Advance anashikwa anaishia kupata three au four.

Ukikomaa na ukiwa strategic, one kuipata ni rahisi sana Advance.
Wengi tuliacha kwa sababu tunaona waliopiga one kali o level tunaambiwa walifeli physics A level.

Tukaingiwa na woga tukaikimbiaga physics..
 
My broo hadi Leo anajuta kusoma Hyo kitu ilivo mfanya advance akaniambia Dogo usije waza kuisoma hyo ktu
Usimsikilize huyo.
Mimi mdkgo wangu namshajiisha kuisoma kwanza yuko form one....

Na nimeanza kuona matokeo yake ya kumshajiisha mana ameniletea A ya 100 ya physics japo kuwa ni masomo rahisi sana form one lakini na mimi nimechangia
 
Hii hutokana na walimu wabovu

Vitabu vibovu

Mazingira mabovu ya kusomea

Mwanafunzi unampa mgote physics asomee , what do you expect kama uwezo wake ni mdogo

Only failures na atafeli

Walimu wanalipwa mishahara midogo unategemea , mimi niliyepata A ya physics nije kufundisha niache kazi nyingine

Ualimu ni kama umewekwa kana kwamba ni kwa watu waliopata two na three , unategemea maajabu gani toka kwa mtu aliyepata D Ya physics
Unataka aje alete A

Ukweli mchungu lakini lazima tuukubali

Tuwaheshimu walimu wetu , lakini govt iweke jicho la tatu hapa kwa kuboresha maslahi ya ualimu wanafunzi waliopata ufaulu wa juu wavutiwe pia na hapa
 
Hii hutokana na walimu wabovu

Vitabu vibovu

Mazingira mabovu ya kusomea

Mwanafunzi unampa mgote physics asomee , what do you expect kama uwezo wake ni mdogo

Only failures na atafeli

Walimu wanalipwa mishahara midogo unategemea , mimi niliyepata A ya physics nije kufundisha niache kazi nyingine

Ualimu ni kama umewekwa kana kwamba ni kwa watu waliopata two na three , unategemea maajabu gani toka kwa mtu aliyepata D Ya physics
Unataka aje alete A

Ukweli mchungu lakini lazima tuukubali

Tuwaheshimu walimu wetu , lakini govt iweke jicho la tatu hapa kwa kuboresha maslahi ya ualimu wanafunzi waliopata ufaulu wa juu wavutiwe pia na hapa
Ni kweli mkuu,niliwahi waza sana hii kitu.

Mimi nakumbuka kulikuwa na mhasibu mmoja wa wilaya ni jirani yetu huyo ndo alikuwa anatufundisha physics,mathe na bios alikuwa anaipata vyema sana..

Ila nikaanza uvivu nikawa naenda kusoma bios tu nikaambulia ka C o level kutokana na uvivu wangu.

Nilikuwa najisemea kwamba mtu aliepata D ya hesabu form four hawezi kukupatia A wewe.

Nikawa nakimbilia kusoma kwa hao jamaa ambao walipita vizuri huko nyuma.
 
Pia wanafunzi wanahitajika kuwa commited

Mtu swali la projectile , limemshinda siku moja , ndo basi analiacha

Huo ni ujinga haitakiwi iwe hivyo

Kuna maswali nlkua nasolve hata miezi mitatu ndo napata solution yake

Somo sio gumu kama mtu ataamua kuws commited

Sasa mwanafunzi wa sasa anasoma huku anawaza wangapi wamelike picha yake fb au insta

What do you expect there more than ....

Madogo watulie wasome , mbona madogo wangu mzumbe na marian wametulia na wana score fresh sana
 
Ni kweli mkuu,niliwahi waza sana hii kitu.

Mimi nakumbuka kulikuwa na mhasibu mmoja wa wilaya ni jirani yetu huyo ndo alikuwa anatufundisha physics,mathe na bios alikuwa anaipata vyema sana..

Ila nikaanza uvivu nikawa naenda kusoma bios tu nikaambulia ka C o level kutokana na uvivu wangu.

Nilikuwa najisemea kwamba mtu aliepata D ya hesabu form four hawezi kukupatia A wewe.

Nikawa nakimbilia kusoma kwa hao jamaa ambao walipita vizuri huko nyuma.
Walimu kwanza wanafundisha bila motisha

Tafuta siku usikilize story za walimu

Zinasikitisha sana

Elimu waliyopata inaweza kuwa msaada ila , hawana motisha

Wanasubiri siku ziende tu
 
Pia wanafunzi wanahitajika kuwa commited

Mtu swali la projectile , limemshinda siku moja , ndo basi analiacha

Huo ni ujinga haitakiwi iwe hivyo

Kuna maswali nlkua nasolve hata miezi mitatu ndo napata solution yake

Somo sio gumu kama mtu ataamua kuws commited

Sasa mwanafunzi wa sasa anasoma huku anawaza wangapi wamelike picha yake fb au insta

What do you expect there more than ....

Madogo watulie wasome , mbona madogo wangu mzumbe na marian wametulia na wana score fresh sana
Dah lakini pia mkuu.

Motivation muhimu sana kwa wanafunzi.

Nina mdogo wangu yeye yupo form one tu mwaka huu lakini eti ananiambia "kaka naskia watu wansema physics somo gumu sana hapa sekondari"

Nikamuambia hakuna somo gumu hata kidogo,hizo ni stori za watu tu,nikampa maneno mengi sana ya kumpa moyo.

Nikamuambia wewe jaribu kusoma kila unachofundishwa hapo shuleni katika masomo alafu uelewe na mtihani uje hapo hapo kwa topic mlizosoma tuone kama kuna ugumu.

Japokuwa form one masomo mepesi lakini kwa kumhamasisha kule dogo ananiambia ame score 100 kwa 100 physics na amewaacha wenzie mbali kdogo..

Nikamuambia "ugumu inaanzia katika akili zetu"

Dogo saivi anasoma sana nategemea mazuri kutoka kwake...
 
Dah lakini pia mkuu.

Motivation muhimu sana kwa wanafunzi.

Nina mdogo wangu yeye yupo form one tu mwaka huu lakini eti ananiambia "kaka naskia watu wansema physics somo gumu sana hapa sekondari"

Nikamuambia hakuna somo gumu hata kidogo,hizo ni stori za watu tu,nikampa maneno mengi sana ya kumpa moyo.

Nikamuambia wewe jaribu kusoma kila unachofundishwa hapo shuleni katika masomo alafu uelewe na mtihani uje hapo hapo kwa topic mlizosoma tuone kama kuna ugumu.

Japokuwa form one masomo mepesi lakini kwa kumhamasisha kule dogo ananiambia ame score 100 kwa 100 physics na amewaacha wenzie mbali kdogo..

Nikamuambia "ugumu inaanzia katika akili zetu"

Dogo saivi anasoma sana nategemea mazuri kutoka kwake...
Mkazie mkuu

Hakuna ugumu wowote , kwenye physics

Vijana wana mambo mengi sa hivi hawataki kutuliza akili kabisa !
 
Dah lakini pia mkuu.

Motivation muhimu sana kwa wanafunzi.

Nina mdogo wangu yeye yupo form one tu mwaka huu lakini eti ananiambia "kaka naskia watu wansema physics somo gumu sana hapa sekondari"

Nikamuambia hakuna somo gumu hata kidogo,hizo ni stori za watu tu,nikampa maneno mengi sana ya kumpa moyo.

Nikamuambia wewe jaribu kusoma kila unachofundishwa hapo shuleni katika masomo alafu uelewe na mtihani uje hapo hapo kwa topic mlizosoma tuone kama kuna ugumu.

Japokuwa form one masomo mepesi lakini kwa kumhamasisha kule dogo ananiambia ame score 100 kwa 100 physics na amewaacha wenzie mbali kdogo..

Nikamuambia "ugumu inaanzia katika akili zetu"

Dogo saivi anasoma sana nategemea mazuri kutoka kwake...
pia hongera kwa kumsimamia mdogo wetu

Ni kitu kizuri
 
Back
Top Bottom