Recent content by UNSPOKEN

  1. U

    Pamoja na bei ya mafuta kupanda, watu wanaendelea kutumia magari na vyombo vingine vinavyotumia mafuta. Je ni kweli wako vizuri kipesa?

    Mafuta ACHA yapande na watu wataendelea kuendesha gari zao,kwani kila mmoja anapambana ili kuhakikisha maisha yanasonga mbele kwa namna iwavyo
  2. U

    Watu wengi siyo waaminifu wanapoazima vitu

    Kwa maono yangu ni kwamba hali halisi ya maisha ndio inatufikisha hapo wengi kuonekana wakorofi,mfano unaazima 10000 na unaahidi kurudisha baada ya siku tatu,umetafuta umepata kweli hiyo 10000 lkn tatizo lilopo mbele linapita 10000 unachofanya ni kitatua shida iliyopo kwanza mezani na kiemdelea...
  3. U

    Kwa namna hii Mabadiliko Tanzania ni ndoto

    Watanzania c wajinga kiivyo,kwan wameamua na ukawa wanavuna walicho panda ni mara ngapi tumewashauri umu jf,ukawa bado vichwa maji.usilaumu ulipodondokea laumu ulipojukwaa.
  4. U

    Falsafa ya ujamaa ilivyoathiri Tanzania kwa umasikini uliotukuka

    Ndugu wana jf naomba munijuze (kwa mwenye kujua) nchi etu tz kwa sasa iko ktk mfumo upi kati ya hiyo miwili inayotamalak kwa sasa ulimwengun,na kwa sasa tunahitaji tuwe na mfumo upi.
  5. U

    CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!

    Ni sawa kabisa,hata lile tunda likidondoka ktk mti wake mbaya nalo huendelea kuwa baya tu ata kama likiwekwa kwenye fungu la matunda mazuri,yatanunuliwa mazur tu baya likaachwa na kuoza.
Back
Top Bottom