Recent content by unque

  1. U

    Naomba kujuzwa maisha ya sperm & ovum baada ya ejaculation na ovulation.

    Asante..bt izo siku tano ni kwa zote mbili y na X?
  2. U

    Naomba kujuzwa maisha ya sperm & ovum baada ya ejaculation na ovulation.

    Nahitaji nifahamu inachukua mda gani mbegu ya kiume kuishi ndani ya mwili wa mwanamke baada ya ejaculation pia ovum linaishi mda gani baada ya ovulation.
  3. U

    Waliochaguliwa SUA 2017/18 tukutane hapa

    habr wakuu..bsc.wth education(biolgy&chemistry) sua inapatikana? naomben majibu nifanye maamuzi yalio sahihi
  4. U

    Waliochaguliwa SUA 2017/18 tukutane hapa

    jitahd2 kuwapigia mkuu.
  5. U

    Waliochaguliwa SUA 2017/18 tukutane hapa

    ni kwel zipo busy bt zinapatikana piga mara kwa mara utawapata mm jana niliongea nao kuhusu admssn lettr na j.instrctn na leo wamentumia mkuu.tayar nmesha print mkuu
  6. U

    Waliochaguliwa SUA 2017/18 tukutane hapa

    msaada mkuu mm sijaona chochote kwenye account yangu.lakin kwenye orodha ya majina nipo...nisaidie tafadhari
Back
Top Bottom