Sisi tuliowekeza kwenye utalii ndo tutalia. Na hii maana yake tunawaambiwa international travelers msije TZ. Mpaka sasa Watalii wanatuambia Tanzania is the most expensive destination in Africa bado tunaongeza tozo🤔. Na huwa wanatuambia mnadhani Simba wa tanzania ni tofauti na Simba aliyepo...
Mwogope dalali wa mikopo anayekupa interest rate Kwa mwezi, anachoficha hapo ni rate ya 42% Kwa mwaka. 42/12months= 3.5%. hivyo uhalisia mikopo yao ni 42% Kwa mwaka. Anakupa 3.5% Ili uone riba ni ndogo wakati sivyo ilivyo. Ukienda commercial banks riba sasa hivi zinachezea 18% - 24% Kwa mwaka...
Mtazamo wangu ili maandamano yafanikiwe ni lazima washiriki wa hayo maandamano wawe wengi mnoo kiasi ambacho polisi wataogopa kuwafata, lkn maandamano ya kuwaachia chadema peke yao au watu 100 polisi watawamudu na kuwajeruhi.
Maoni yangu; lianzishwe group specific kwa washiriki wa maandamano...
Andiko linajibiwa kwa andiko.
1Timotheo 4:1 “Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani;
2 kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe;
3 wakiwazuia watu wasioe, na...
1Timotheo 4:1 “Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani;
2 kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe;
3 wakiwazuia watu wasioe, na kuwaamuru wajiepushe na...
Kwa zao la Asali peke yake mzinga wetu unaweza kuvuna mara 3 hadi 4 ndani ya mwaka mmoja (1), na kutokana na fremu zilizopo kwenye mzinga wetu unaweza pata Lita 10 hadi 12 kwa kila mvuno. Ukilinganisha na thamani ya sasa ya asali ni wazi utapata sio chini ya 300k kwa mwaka hapo utakuwa ume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.