Nahisi sio kila kitu unajua kwa sababu hakuna binadamu anayejua kila kitu, kuthibitisha hili ni apo ulipotuuliza hili swali ili tukupe mawazo yetu. Anza kwanza kurekebisha apo kwenye ujuaji wa KILA KITU alafu mengine yatafuata
Naona elimu yako haijakukomboa bado, hv ulivyoandika hukusoma mara mbilimbili kabla ya kupost?
km ulifanya hivyo hukugundua km unakaribia kusaini matunzo ya familia nyngn???????
B Care
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.