Recent content by Undercarriage

  1. U

    Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”

    She is Mama from Zanzibar, 90% ya akina mama wa kizanzibar hata wakisoma huwa wanajitambua na kujua hata position yao kama mama hasa ngazi ya familia.. Huku bara tunashida na hawa mama zetu hasa wakisoma kidogo na kuwa na vijihela basi utaona full sinema, ujeuri, dharau, kujikweza na mwisho wa...
  2. U

    KENYA: Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan aiwakilisha Tanzania katika Sherehe za kuapishwa Uhuru Kenyatta kuwa Rais

    Kwani Auncle huku ana kazi gani inayomfanya ashindwe kutumia masaa 5 pale Nairobi halafu akarudi zake..
  3. U

    Hivi vigogo wa JF Siasa wao hawahami vyama?

    Ila angekuwa Balozi Slaa ndio sawa ingekuwa..
  4. U

    Yatima, mwanafunzi wa IMTU ajinyonga baada ya kufeli mtihani

    Kudisco chuo ni uzembe uliopitiliza kwa mwanafunzi husika..Mbona ulivyorudia hukudisco?? Jibu ni kwamba uliacha uzembe..
  5. U

    Work on Dar es Salaam bus rapid transit to resume

    Jukwaa la Watanzania wanaongea na kuelewa kiswahili... Kwa hii Lugha ujumbe hautawafikia walio wengi.. UANDIKE AU TAFSIRI KWA KISWAHILI..
  6. U

    CHADEMA, mliamini katika ubatili. Ile ndiyo CCM ya Magufuli!

    Chadema msipokuwa na plan B msitegemee kuchukua nchi kirahisi, wenzenu hawahitaji hoja tena ila ni mwendo wa utemi tu... Kubweka hakuwezi kuwasaidia tena Chadema maana CCM wenye dola wameamua kutumia mbinu ya ubabe maana wanajua watanzania ni waoga.. Ni vizuri tukaamua tu kuachana na siasa na...
  7. U

    Bandarini Dar: Rais Magufuli akamata Magari takribani 53 yasiyo na mwenyewe, IGP alaumiwa Mikataba ya Lugumi

    Sasa mkuu hivi kulikuwa na haja gani ya yeye kuwepo pale?? Kama umejenga taasisi imara unaweza kufanya kazi vile?? 2015 ameingia madarakani na amedhuru bandari mara nyingi sana yeye na waziri mkuu lakini bado vitu kama vile vinatokea unafikiri nani wakulaumiwa kama sio yeye kushindwa...
  8. U

    Bandarini Dar: Rais Magufuli akamata Magari takribani 53 yasiyo na mwenyewe, IGP alaumiwa Mikataba ya Lugumi

    "Nanyi mjue shida ya kuwa Raisi katika nchi hii" Mkuu Magu mtaendelea sana kuumiza vichwa lakini tatizo ni CCM yenu, mfumo wa elimu mbovu, mfumo wa ajira mbovu, mfumo usalama mbovu nk, nk matatizo ni Mengi sana.. Eti Mawaziri hawacommunicate, hilo mbona ni tatizo la miaka yooote ambayo CCM ipo...
  9. U

    Bandarini Dar: Rais Magufuli akamata Magari takribani 53 yasiyo na mwenyewe, IGP alaumiwa Mikataba ya Lugumi

    Kila siku mnasema humu, swafi kila kitu na mafisadi wako chadema sasa sijui hao cdm wako bandari hapo..
  10. U

    Sijaona msiba toka mikoani kusafirishwa kwenda Dar

    Misiba inayosafirishwa kuja dar huwa inatokea ughaibuni, kwa hiyo inadhihirisha wadar wengi wako ughaibuni
  11. U

    Bandarini Dar: Rais Magufuli akamata Magari takribani 53 yasiyo na mwenyewe, IGP alaumiwa Mikataba ya Lugumi

    Hii nchi ina bahati sana, yaani kila siku inapata neema ya kudondokewa na vitu vya thamani kutoka ughaibuni, mara vichwa vya train hivyo.. Kuna siku itatua ndege pale airport tutaambiwa haina mwenyewe na imekuja na ghost pilots.. Rais anakwenda bandarini kukamata mwenyewe, akiwa hayupo huko...
  12. U

    DAR: Rais Magufuli atembelea Meli ya Jeshi la China. Amsifia RC Makonda, awataka Viongozi wengine wajifunze kwake!

    sasa kama huduma zoote hizo zipo watu zaidi ya 1000 wanaendaje kutibiwa kwenye meli ya msaada..
  13. U

    Kila nionapo picha ya Rais Mstaafu Kikwete machozi yananitoka kwa uchungu

    Wafanyakazi hewa wamedhibitiwa.. Feki na hewa zote zimetolewa.. Wapiga dili wamedhibitiwa.. Kifupi serikali hii imedhibiti ufisadi.. Mishahara unashindwa kuongeza.. Kutwa kigulu na njia kukopa.. Wanaofunga maduka nao wapiga dili.. Construction industry imepwaya, nao dili.. Mabenki hayatoi...
  14. U

    Rais Magufuli aifungua Hospitali ya Taaluma na Tiba - Muhimbili kampasi ya Mloganzila

    Waipe hata jina la yule Mkwere.. JK memorial hospital..
Back
Top Bottom