Ipo temeke,chang'ombe karibia na ttc club
Kuna njia ya kulipana
Ukiosha gari unapata chako hapo hapo.kama gari elf 7 unachukua elf mvili,kama elfu kumi unachukua elf 3 kama 20 unachukua elf 5,kuna pikipiki,bajaj na mazulia bei inategemeana,
Ana elimu gani?