Kazi ya kuosha magari

Kazi ya kuosha magari

Yaaaan upo sahihi jamani yaaan sijui nikwambieje,vijana wa kitanzania sisi UAMINIFU 0.90
Tatizo la vijana ni kuwa ukimpa sehemu ya kujipatia ridhiki yeye anawazia utajiri....matokeo yake ni kukuibia......
 
Uwezekano wa huyu mtu kua na pesa karibu au kumzidi mshahara graduate ni mkubwa. Hao ndugu zako bado maisha hayajawagusa vizuri halafu inaonekana mbeleko za kuwabeba zipo nyingi.
Sanaaaa,yaaan mkuu nashindwa kuandika hapa kwa maelezo ila pamoja na changamoto za biashara sijapata mtu muaminifu na mchapa kazi
 
Boss kwan hapo elim inahusikaje kwa mfano....?

Kwan iyo kazi mtu akielekezwa si anakuwa na uelewa wa kuifanya au inaitaji taaluma zaid...?
Nishakutana mwenye degree anataka ulaini mazingira ya kazi kuelezea akaona ugumu,hii kazi ni skills tu na kuwajali wateja na kutia juhudi haiihitaji gpa
 
Siyo dhambi kua na vision.

Baunsa anayelinda mlangoni kwa siku atalipwa elfu 20, akilinda mechi ya Simba na Yanga makubaliano ni elfu 50 halafu hailipwi hata miezi itakatika.

Na mabaunsa hua wanakubali wakitegemea kua wakifika huko wataiba na waajiri hua wanabargain kwa bei hizo wakijua huyu mtu ataiba.

Akilipwa laki moja au laki na nusu atawaza kuiba?

Mlipe mwajiriwa wako vizuri muwekee mazingira ya kumuamini uone kama atakuibia.
Na hao wakina Mchechu wanalipwa hela kidogo..!!?
 
Kuna yule aliomba mkopo wa shs. 7000 humu ili afanye biashara ya karanga
Fursa hii achangamkie
 
Back
Top Bottom