Recent content by Umuhilisese

  1. Umuhilisese

    M4C-OPD jijini Mwanza katika Picha (Feb 01, 2014)

    Umati wote huu ukaifuata CHEDEMA, kwani CCM hawakuwa na mkutano kuadhimisha miaka 37 ngazi ya mkoa hko Mwanza? au walipisha kwanza makamanda wa jiji wafanye vitu vyao kwanza.
  2. Umuhilisese

    Picha: Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Kikwete Akabidhi Wasanii Mashuhuri tuu Kadi za kujiunga na CCM

    Too late! leo ndo waona mwezi? Hakika lala salama itakumba wengi kuelekea 2015.
  3. Umuhilisese

    Wasira Aelekea Kushinda Udiwani Bunda

    Kazi kweli kweli!!!!!!!
  4. Umuhilisese

    M4C-OPD Ifakara; live coverage

    Mtwara lini? maana kata ya Mkuti hapa Tandahimba imeanza kuangukia kwa Makamanda, wanachohitaji ni kuungwa mkono tu ili ichukuliwe baada ya CUF kufulia Tandahimba kiasi cha kumwekea pingamizi mgombea wa CDM eti kuwa si raia. hata hivyo msimamizi alilitupulia mbali pingamizi hilo.
  5. Umuhilisese

    Jenista Muhagama; Uchaguzi chuo kikuu Mzumbe haukuhusu

    Hii inanikumbusha hadithi ya 'Kutwanga nisile Unga.........", wale waswahili wamalizie.
  6. Umuhilisese

    Zitto Kabwe Adai kwa Kiapo Hana Majina ya Wenye Akaunti Uswisi - AG

    Tusubiri yeye mwenyewe atajibu
Back
Top Bottom