kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,745
hakuna celebrity ndani ya CDM, wote tupo sawa na tunapigania kumwondoa mkoloni mweusi CCM aliyetawala nchi yetu zaidi ya miaka 51 bila kutuletea maendeleo yanayoonekana.
Kama unabisha kauli yangu kwamba hakuna celebrity CDM, we nenda kamuulize yule aliyekuwa anamongonyoa vipande vya merikebu wakati safari ipo katikati ya bahari atakueleza yaliyomkumba!!
View attachment 135891
Hapo kwenye BLUE Unamzungumzia huyu?