Wasira Aelekea Kushinda Udiwani Bunda

Wasira Aelekea Kushinda Udiwani Bunda

hakuna celebrity ndani ya CDM, wote tupo sawa na tunapigania kumwondoa mkoloni mweusi CCM aliyetawala nchi yetu zaidi ya miaka 51 bila kutuletea maendeleo yanayoonekana.

Kama unabisha kauli yangu kwamba hakuna celebrity CDM, we nenda kamuulize yule aliyekuwa anamongonyoa vipande vya merikebu wakati safari ipo katikati ya bahari atakueleza yaliyomkumba!!

View attachment 135891

Hapo kwenye BLUE Unamzungumzia huyu?
 
Jina la Wasira ni mtaji kwa CHADEMA.

Jina la Wasira limemfanya mpaka Lilian akapata kazi ya kumnadi Wasira wingine wa CHADEMA.

Lilian Wasira kwa sasa ni political celebrity ndani ya CHADEMA, cha kushangaza, ninatumaini hata ukimuuliza katiba ya kilaghai ya CHADEMA inasema nini, hawezi kukupa jibu.

Hii ndiyo CHADEMA ambayo imesimama kwenye misingi ya siasa za kitapeli.
Taratibu tu kamanda badae utatuelewa tu.
 
Jina la Wasira ni mtaji kwa CHADEMA.

Jina la Wasira limemfanya mpaka Lilian akapata kazi ya kumnadi Wasira wingine wa CHADEMA.

Lilian Wasira kwa sasa ni political celebrity ndani ya CHADEMA, cha kushangaza, ninatumaini hata ukimuuliza katiba ya kilaghai ya CHADEMA inasema nini, hawezi kukupa jibu.

Hii ndiyo CHADEMA ambayo imesimama kwenye misingi ya siasa za kitapeli.

Tulia mkubwa muziki ndo' kwanza unaanza
 
that's too cheap...haya na ww umeandika thread
 
Jina la Wasira ni mtaji kwa CHADEMA.

Jina la Wasira limemfanya mpaka Lilian akapata kazi ya kumnadi Wasira wingine wa CHADEMA.

Lilian Wasira kwa sasa ni political celebrity ndani ya CHADEMA, cha kushangaza, ninatumaini hata ukimuuliza katiba ya kilaghai ya CHADEMA inasema nini, hawezi kukupa jibu.

Hii ndiyo CHADEMA ambayo imesimama kwenye misingi ya siasa za kitapeli.

sasa ULITAKA NAYE AWE MFAGIA KOLIDO ZA LUMUMBA KAMA WEWE ?
 
Heading yako iliposomeka wasira nikajuwa ni yule wa TANAPA nimeifunguwa kivivu sana cdm jiuuuuuuuu
Hahahaaaaaaaaaaaaaaaa mwana unatumia nini Kibo Gold au Castle light. Una utani wa Ngumi wewe...........hivi Wassira wa TANAPA ni yupi nae ana undugu na Wassira wa Ikulu!!!???
 
Jina la Wasira ni mtaji kwa CHADEMA.

Jina la Wasira limemfanya mpaka Lilian akapata kazi ya kumnadi Wasira wingine wa CHADEMA.

Lilian Wasira kwa sasa ni political celebrity ndani ya CHADEMA, cha kushangaza, ninatumaini hata ukimuuliza katiba ya kilaghai ya CHADEMA inasema nini, hawezi kukupa jibu.

Hii ndiyo CHADEMA ambayo imesimama kwenye misingi ya siasa za kitapeli.

Vipi maliasili yenyewe haijapiga kambi Bunda?
 
Back
Top Bottom