Recent content by Umslopagas

  1. Umslopagas

    DRC na maajabu yake

    Kisa kama hiki na vingine vingi sana kama hivi ndivyo vilipelekea kuibuka kwa M23, Hao watoto wanao fanyiwa unyama huo na Raia wenzao huku Serikali ikiangalia kosa lao ni kuwa walizaliwa wakiwa Watusi ndani ya DRC.
  2. Umslopagas

    Watutsi ni watu wenye tamaa ya ukuu sawa tamaa ya fisi kula

    Duuu! una akili finyu kweli kweli, kwa kweli we sio kaputula we ni chupi kabisa
  3. Umslopagas

    Sultan Makenga, kiongozi wa M23, alikuwa anatafutwa Congo. Kisha akaita kikao kuwaamuru wanajeshi wa SADC kuondoka DRC

    Acha ushabiki, Jeshi la SADC lilikuwa na full mandate ya kupigana bega kwa bega na Jeshi la Congo ndio maana liliingia badala ya jeshi la EAC ambalo Tshisekedi alilifukuza kwa kuwa lilikuwa ni la kulinda amani ndio akakubaliana na SADC waje kumsaidia kupiga kungulu kama walivyofanya 2012/13. kwa...
  4. Umslopagas

    Sultan Makenga, kiongozi wa M23, alikuwa anatafutwa Congo. Kisha akaita kikao kuwaamuru wanajeshi wa SADC kuondoka DRC

    Hebu umwereze maana anajitoa ufahamu eti ni peace keepers, wapi kabisa SADC iliingia Congo kama FIB na lengo likiwa kushirikiana na Jeshi la Congo kumpiga M23, wakijua kuwa M23 ni ile ya 2012/13, hawakujua kama Gen Makenga amejiandaa kwa 10yrs na yuko tayari kabisa. kwa ufupi SADC wamesalim amri...
  5. Umslopagas

    Uliza chochote kuhusu Rwanda

    Ngoja na mimi nichangie kidogo "Betason" , Tanzania mara ya mwisho imepigana vita 1978, Hii ni zaidi ya miaka 40 iliyopita. Askari aliekuwa na miaka 20-30 ameshastaafu. Kwa ufupi ni kwamba askari wote wa sasa wa jwtz hawajapigana vita yoyote. Jeshi la Rwanda halijawahi kutulia liko vitani tangia...
  6. Umslopagas

    General OMEGA. Siri kubwa ya M23. Maandalizi ya kumkabidhi serikali ya Rwanda

    Hebu jaribu kuwafahamu FDLR, OMEGA Ndie alikuwa numba tegemezi kwenye uwanja wa mapambano akitegemewa sana na Kinshasa.
  7. Umslopagas

    Baadhi ya vifaa walivyozawadiwa M23

    Akili yako ni finyu kweli kweli, ebu jaribu kupitia news mbalimbali kidogo basi ujipe ufahamu japo kiduchu. Kwani Jeshi la Congo ndio Rwanda?
  8. Umslopagas

    Jeshi la Afrika Kusini pamoja na FARDC limefanikiwa kuwadhibiti M23 kuelekea GOMA

    Where are you, why are you not updating us 🤪 😜😜😜. Unaleta porojo za vijiweni kwenye issue nzito nzito kama hizi
  9. Umslopagas

    Jeshi la Afrika Kusini pamoja na FARDC limefanikiwa kuwadhibiti M23 kuelekea GOMA

    Mwanzishaji wa hii Mada kwanini asiwe professional ajye atueleze kulikoni? Kwa Kichwa cha habari na jinsi alivyo anza angepaswa sasa hivi awe amekuja ku change tamko lake. Nauliza Ndugu @ Mobby_255 Earthmover naye aliingia kwa fujoo lakini sijui kapotelea wapi.
  10. Umslopagas

    Jeshi la Afrika Kusini pamoja na FARDC limefanikiwa kuwadhibiti M23 kuelekea GOMA

    Amka usingizini wewe, kumekucha, hizo ni za alinacha. BU, SA, TZ, ML wote wako wanafanya mazungumzo wapewe askari wao ambao wako under M23, kwa taarifa yako baadhi ya hao askari wako kwenye masanduku. Wazung wameshafanya negotiation cap chap wakapewa mamluki wao, Viongozi wa Afrika wanasua sua...
  11. Umslopagas

    Inasikitisha sana Wafaransa mpaka leo wanainyonya Afrika kwa nguvu

    Hello Mr stinger_bug: Long time.
  12. Umslopagas

    M23 wailaumu TPDF kutumia silaha nzito za kivita kulinda amani DRC

    Thubutu, FARDC, FDRL, WAGNER, MAIMAI, Burundian Forces, Black water na SADC hoi bin taaban :D. Number M ya leo ni moto wa kuotea mbali.
  13. Umslopagas

    Niliwaonya hapa hapa kuwa Kawaondoeni Ndugu zenu kwa akina Fally Ipupa na Ferre Gola kwani 'Namba M' hawana Masihara mkanipuuza

    Aisee naona kipigo kingine pale Kilimanyoka, hawa Namba M hawana mchezo kabisa, lakini ni haki yao ngoja watoe fundisho kwa wote wanaotaka kuwatoa kwenye ardhi ya babu zao.
  14. Umslopagas

    Hatimaye barua imefika Ikulu kwa Rais kuhusu balozi mteule Jen. Patrick Nyamvuba wa Rwanda nchini Tanzania

    Aisee huyu Mrundi ana matatizo sana. Sasa analeta uzi ambao kwa ulivyokaa unaohitaji vielelezo (proof) lakini anakauka kama sio yeye vile.
Back
Top Bottom