Nyie CHADEMA hapa mna analyse augument zenu vizuri...the only thing you are not doing is to prove it...cleanly to the public u feke wa ile video...but until then acheni kuingia vitani na ukweli ulio wazi....technologia ya kuweka sauti kwenye video ni rahisi mno, na kama ile video ilitumika...
Acheni maneno ya bila kuwa na ushahidi nyie CHADEMA...mnang'ang'ania imepikwa ile Video....PROVE IT.......OMBENI MSAADA HATA WA NJE KAMA HAMNA WATAALAM MNAOWAAMNI...ila mnakera mnaposema maneno mengi na kutukana watu wakati na nyie hamna ushahidi...until you do that ndio tutaanza kuwaamini...
Asante ndugu yangu kwa kusema haya hapa...I was about to comment the same....christians are always like that, whenever a muslim is somewhere doing good things for us they do not like it...whats wrong with you???Nyerere aliharibu nchi na kutuacha masikini watu mnampongeza kwa ubaba wa taifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.