Bado sioni kama maslahi ya wananchi yamezingatiwa kwa kufanya ukaguzi wa magari baada ya kuwa yameingia nchini, bali kinachoonekana ni kuzidi kuweka ugumu wa maisha kwa wananchi hasa wanyonge. Namsihi Rais JPM aingilie kati jambo hili hata kabla halijaanza kutekelezwa.
Polisi wasingetangaza, ndg wa marehemu wangejuaje kama ndg yao amefariki dunia? Polisi wasingekuwa wawazi katika mkasa huu, huoni kama wangekuja kugeuziwa 'kibao' kwamba wanahusika kwenye kifo hicho, ama wanamlinda muuaji? Hiyo pesa tu tsh 37,000/= aliyokutwa nayo marehemu, tayari baadhi ya watu...
Kwenye plastic huenda ndo kuna rushwa ya chapchap. Halafu ukigusa makundi ya mifugo yanayo hamahama, inaweza kukupotezea kazi haraka sana. NEMC wako makini sana, wanajua wanachofanya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.