Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,173
- 27,223
Leo Kuna Jambo ambalo nimeona ni wazi napaswa kulizungumza kwa kuwa limenigusa sana.
Waarabu na wahindi ambao ni waislamu, Wana utaratibu ambao nimetokea kuupenda sana na ikitupendeza wakristo naomba tuuige.
Najua Kuna mabaya mengi yanayofanywa na Hawa watu wa race hii ila kwenye mazuri tuwape sifa zao.
Wana utaratibu wa kujitolea kutoa huduma ya maji bure kabisa. Kuna sehemu wapo karibu na shule, huwezi amini wanafunzi maji yao ya kunywa wanaenda kuchota kwa hao watu kwenye mabomba yao ambayo wameyaweka nje, tena kuna bango kubwa "MAJI BURE"
sio kwa wanafunzi tu, hata raia anaruhusiwa kuchota hapo maji bure.
Huu ni zaidi ya uungwana na kwa hili nawapongeza sana na iigwe na watu wengine(sijawahi kuona mswahili kafanya hivi).
Pengine ni maelekezo ya dini yao, hivyo kwa dini zingine jambo Kama hili tunapaswa kuliiga.
Waarabu na wahindi ambao ni waislamu, Wana utaratibu ambao nimetokea kuupenda sana na ikitupendeza wakristo naomba tuuige.
Najua Kuna mabaya mengi yanayofanywa na Hawa watu wa race hii ila kwenye mazuri tuwape sifa zao.
Wana utaratibu wa kujitolea kutoa huduma ya maji bure kabisa. Kuna sehemu wapo karibu na shule, huwezi amini wanafunzi maji yao ya kunywa wanaenda kuchota kwa hao watu kwenye mabomba yao ambayo wameyaweka nje, tena kuna bango kubwa "MAJI BURE"
sio kwa wanafunzi tu, hata raia anaruhusiwa kuchota hapo maji bure.
Huu ni zaidi ya uungwana na kwa hili nawapongeza sana na iigwe na watu wengine(sijawahi kuona mswahili kafanya hivi).
Pengine ni maelekezo ya dini yao, hivyo kwa dini zingine jambo Kama hili tunapaswa kuliiga.