Kupimana kwa ajili ya nini? Hivi kuna mtu anaweza kufanya ujambazi tu just for the sake of kujaribu serikali? Hapana, nasema BIG NO. Bado natafakari kwa nini watu wengi wauawe kiasi hiki. Alafu inaonekana wengi wanaouawa ni viongozi wa vijiji, vitongoji, viongozi wa CCM, na polisi. Hapa kuna...
Nawaza tuu hii post ya jana mpaka leo hakuna anayejibu...... Kwa mtazamo wangu nawaza mengi hapa, assume mtu yuko Ruvuma, mwingine yuko Kagera. Alafu hapa tuko kwa ID feki maana members wengi humu zaidi ya 98% hawatumii majina yao halali..... Sababu ni nyingi. Tafuta hata saccos au watu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.