Recent content by UmkhontoweSizwe

  1. UmkhontoweSizwe

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Nchemba ashiriki tamasha la mtoko wa Pasaka, asisitiza amani

    Mkuu, hii si ungeanzishia post yake kabisa badala ya kuchomekea kwenye post ya jambo jingine ?! Wewe ni Platinum member, you have to act accordingly.
  2. UmkhontoweSizwe

    JamiiForums Tanzania CHADEMA isipojirekebisha, ina hatari ya kuwa kama kuku aliyekatwa kichwa

    Mwenyekiti wa chama ni Lisu, hivi unategemea kweli hicho chama kina uwezo wa kujirekebisha? Huo uwezo utayoka wapi? Taasisi yoyote inayoongozwa na watu wenye hulka ya kujifanya wanajua kila kitu, na ni wao tu ndio wanaojua (wajuaji), haiwezi kupata uwezo wa kujirekebisha.
  3. UmkhontoweSizwe

    JamiiForums Tanzania Naipenda CCM imejaa viongozi wazalendo kuanzia Mwenyekiti wa Chama Taifa Samia Suluhu Hassan

    Nchi hii magonjwa ni mengi na wagonjwa ni wengi sana
  4. UmkhontoweSizwe

    JamiiForums Tanzania Msaada: Hawa wanao-mpost Magufuli leo huko status na huko Instagram wana akili timamu?

    Utajuaje kuwa huna akili bila watu kukuambia kuwa huna akili?
  5. UmkhontoweSizwe

    JamiiForums Tanzania Msaada: Hawa wanao-mpost Magufuli leo huko status na huko Instagram wana akili timamu?

    Kwani wewe ukiwa huna akili, unadhani watu wote hawana akili kama wewe?
  6. UmkhontoweSizwe

    JamiiForums Tanzania Zanzibar kuanza kuagiza mchanga kutoka Tanzania Bara

    Mkuu, na Wazanzibari wanajua hivyo? Au ndiyo ile kanuni ya "chao ni chao, ila chetu ni cha wote"?
  7. UmkhontoweSizwe

    JamiiForums Tanzania Rais wa Iran aziomba radhi nchi jirani walizoshambuliwa

    Mkuu, una uhakika kuwa anajua kusoma na kuelewa kilichoandikwa kwenye hiyo article?
  8. UmkhontoweSizwe

    JamiiForums Tanzania CHADEMA someni katiba kwanza badala ya kudanganyana kuwa serikali inamwomba Lissu awe waziri mkuu.

    Mkuu, umejiridhisha kuwa wanajua kusoma kabla ya kutoa huo ushauri? Kama kusoma ni shida, huko kusoma katiba sasa itakuwaje?
  9. UmkhontoweSizwe

    JamiiForums Tanzania Mungu ndiye aliyetulazimisha waafrika tuachane na majina yetu ya Asili?

    Na mimi mbona ni mkristo mzuri tu kwa Imani na Matendo lakini nina majina ya asili; Umkhontowesizwe Nkulukumbi Libangandonde ? Btw, ungeanza kwa kubadilisha hiyo "Allen" kwanza ingeleta maana zaidi!
  10. UmkhontoweSizwe

    JamiiForums Tanzania Mungu ndiye aliyetulazimisha waafrika tuachane na majina yetu ya Asili?

    Kwani Palamagamba Kabudi siyo mkristo?
  11. UmkhontoweSizwe

    JamiiForums Tanzania Polisi Wamkamata Mwanachama wa CHADEMA kwa kosa la kuiba michango ya Tundu Lissu

    Kamanda acha basi kututoa kwenye reli. Tunajadili pesa ya mwenyekiti wetu kutafunwa na wajanja wewe unaweka porojo nyingine ili kuharibu mjadala? Hujui kuwa unaihujumu chadema kiujanja? Au na wewe umepata gawio la huo upigaji?
  12. UmkhontoweSizwe

    JamiiForums Tanzania If the Hon. Mr AG nominates me, I will form a team to represent our lovely madam President in any Court of justice

    You're just a b!tch motherfaker like any other
  13. UmkhontoweSizwe

    JamiiForums Tanzania If the Hon. Mr AG nominates me, I will form a team to represent our lovely madam President in any Court of justice

    Dude, can you share your resume over here (without names) so we can make our own informed decisions if you qualify or not? With this self propagation you might end up feeding us with "wild melons", aka matangopori 😜
Back
Top Bottom