Recent content by UmkhontoweSizwe

  1. UmkhontoweSizwe

    CHADEMA isipojirekebisha, ina hatari ya kuwa kama kuku aliyekatwa kichwa

    Mwenyekiti wa chama ni Lisu, hivi unategemea kweli hicho chama kina uwezo wa kujirekebisha? Huo uwezo utayoka wapi? Taasisi yoyote inayoongozwa na watu wenye hulka ya kujifanya wanajua kila kitu, na ni wao tu ndio wanaojua (wajuaji), haiwezi kupata uwezo wa kujirekebisha.
  2. UmkhontoweSizwe

    Naipenda CCM imejaa viongozi wazalendo kuanzia Mwenyekiti wa Chama Taifa Samia Suluhu Hassan

    Nchi hii magonjwa ni mengi na wagonjwa ni wengi sana
  3. UmkhontoweSizwe

    Msaada: Hawa wanao-mpost Magufuli leo huko status na huko Instagram wana akili timamu?

    Utajuaje kuwa huna akili bila watu kukuambia kuwa huna akili?
  4. UmkhontoweSizwe

    Msaada: Hawa wanao-mpost Magufuli leo huko status na huko Instagram wana akili timamu?

    Kwani wewe ukiwa huna akili, unadhani watu wote hawana akili kama wewe?
  5. UmkhontoweSizwe

    Zanzibar kuanza kuagiza mchanga kutoka Tanzania Bara

    Mkuu, na Wazanzibari wanajua hivyo? Au ndiyo ile kanuni ya "chao ni chao, ila chetu ni cha wote"?
  6. UmkhontoweSizwe

    Rais wa Iran aziomba radhi nchi jirani walizoshambuliwa

    Mkuu, una uhakika kuwa anajua kusoma na kuelewa kilichoandikwa kwenye hiyo article?
  7. UmkhontoweSizwe

    CHADEMA someni katiba kwanza badala ya kudanganyana kuwa serikali inamwomba Lissu awe waziri mkuu.

    Mkuu, umejiridhisha kuwa wanajua kusoma kabla ya kutoa huo ushauri? Kama kusoma ni shida, huko kusoma katiba sasa itakuwaje?
  8. UmkhontoweSizwe

    Mungu ndiye aliyetulazimisha waafrika tuachane na majina yetu ya Asili?

    Na mimi mbona ni mkristo mzuri tu kwa Imani na Matendo lakini nina majina ya asili; Umkhontowesizwe Nkulukumbi Libangandonde ? Btw, ungeanza kwa kubadilisha hiyo "Allen" kwanza ingeleta maana zaidi!
  9. UmkhontoweSizwe

    Maandamano yajayo siku kuu ya iddi yatafanikiwa kama yatafanyika hivi

    Chuki za kidini hazitakusaidia chochote.
  10. UmkhontoweSizwe

    Maandamano yajayo siku kuu ya iddi yatafanikiwa kama yatafanyika hivi

    Acha upuuzi. Watu wanaenda kuswali, na baadae kwenye ubweche. Acheni kuwaingilia na maandamano yenu.
  11. UmkhontoweSizwe

    Maandamano yajayo siku kuu ya iddi yatafanikiwa kama yatafanyika hivi

    Kwa nini maandamano yenu yawe siku ya Iddi? Yani mvurugie watu ibada yao kwa sababu ya maandamano yenu? Mnataka Waislam watakaojimwaga mitaani kufurahia sherehe ya ibada yao waonekane ni waandamanaji wenu? Huo ni ujinga. Kama mnataka maandamano ya kweli kweli, basi yaitisheni siku ambayo...
  12. UmkhontoweSizwe

    Polisi Wamkamata Mwanachama wa CHADEMA kwa kosa la kuiba michango ya Tundu Lissu

    Kamanda acha basi kututoa kwenye reli. Tunajadili pesa ya mwenyekiti wetu kutafunwa na wajanja wewe unaweka porojo nyingine ili kuharibu mjadala? Hujui kuwa unaihujumu chadema kiujanja? Au na wewe umepata gawio la huo upigaji?
Back
Top Bottom