mapenzi yasikutawale ndani ya nyumba ya mjomba,katafute demu mwingine ila si huyo,hapo utakunywa maji kwa karai, acha ubwege, tumia akili, msemee kwa mjomba ili afahamu,na kama atakubali uwe unampa dozi ya uhakika na si ya kubahatisha, fanya fasta!!!