Hakuna cha kushtuka wala nn wajumbe walimkubali dogo ila sasa ngazi ya mwisho ya maamuzi imeona Gwajima ndo anafaa kupambana na CDM....hatutaki kutumia nguvu safari hiii majibu mtayaona wenyewe kampeni zikianza....ushindi mapemaaaaa
Askofu Gwajima ndo TIBA SAHIHI ya Halima Mdee....Na hawamu hii msimamizi wa uchaguzi wala hata pata tabu kumtanganza mshindi maana CDM watapigwa mapema sana
HONGERA sana MHE.RAIS JPM kwa kuiongoza vyema kamati yako na kutuletea watu sahihi...Sasa Kawe na Arusha zinarudi nyumbani baada ya kuwa mikononi mwa upinzani. CCM HOYEEEE YANI RAHA MPAKA BASI
Pole sana wakili msomi TL..Mungu akutangulie uweze pona haraka urudi kutupigania wana singida .......
Aisee hapo hospital usalama wake uko vp....aisije akaingia baazazi akammalizia...viongozi wa upinzani mjitahidi kuwa makini mana hali sio muzuri kipindi hiki wekeni hata walinzi ,cctv camera...
Unasema???...kwani ya makinikia imefikia wapi?mbona tunaanza episode mpya kabla Ile haijaisha...nimeshafanya quotation ya Noah yangu na invoice ishakuja nimepewa siku8 niwe nimedeposit pesa sasa haya masinema mengine ya nn badala yakumaliza Ile ya kwanza bwana watu tukapewa mgao wa Noah zetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.