Kuna thread imeandikwa kumuomba waziri wa maji na umwagiliaji atupie macho mtaalamu mshauri aliyewekwa kusimamia utekelezaji wa mradi wa malipo kabla ya matokeo unaofadhiliwa na shirika la misaada ya kimataifa la Uingereza (DFID). Mradi unaitwa Payment by Result (PBR). Lakini mimi naomba katibu...
Kuna thread imeandikwa kumuomba waziri wa maji na umwagiliaji atupie macho mtaalamu mshauri aliyewekwa kusimamia utekelezaji wa mradi wa malipo kabla ya matokeo unaofadhiliwa na shirika la misaada ya kimataifa la Uingereza (DFID). Mradi unaitwa Payment by Result (PBR). Lakini mimi naomba katibu...
open season on killing innocent Tanzanians.....everyone knows that government run hospitals are death factories!!! Why not let us choose where we want to go get apropriate medical treatment.....Hizi demokrasia za kijuha miyeyusho sana
Nashauri tafuta kitabu kinaitwa kwa heri ukoloni, kwa heri uhuru. Kinaelezea mapinduzi kwa kina na chimbuko ya hali ilivyo sasa Zanzibar. Pia unaweza elewa kwa mini CCM haitoachia Zanzibar kirahisi maana waliichukua kwa gharama kubwa sana.
inaonekana ubalozi wa tanzania haukuhusishwa sana maana hakuwa na passport ya Tanzania.Alikuwa na Passport ya Oman.Ila kwa taarifa zilizopo ni kwamba bado hajanyongwa ila yupo kizuizini!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.