Siasa za maji taka hizi zitaisha lini ,nchi mzima mnataka tufanane ajili za kichawa hapana si Kila kitu kibapaswa kuungwa mkono na si Kila kitu kibapaswa kupingwa
baada ya nyie kuondoka kwenye vyombo hivyo tulivyokuwa tunategemea ,
sasa hivi tuna chawa tu na bado ninajiuliza shule za habari na maadili zipo , na kama zipo wale walimu waliowafundisha nyie hawakuacha wakuwarithi
Tatizo la nchi yetu ndio hilo mtu akiwa anasema ukweli tunamkatisha tamaa kwa kumtisha eti atulie hawezi kutetea watanzania milioni 60, tunasahau kuwa tulimpa kura ya kutuwakilisha akasemee yale ambayo hayasdemwi siyo kuogopa na kuhofia usalama wake
anataka kupooza mambo kwa kutumia chawa ambao hawana impact yoyote kwa wananchi walio wengi na mbaya zaidi anajaribu kutumia walimu aonekane anakubalika
Hapo umeleweka lakini mkija na lugha za sijui ushoga, udini itabidi turudishane kwenye mstari nchi hatujaathirika na ushogha wa udini tumeathirika na maendeleo ya Watu wetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.