Recent content by Ulimwengu Mbaya

  1. Ulimwengu Mbaya

    Maandamano ya kila mara ni upuuzi ulio upuuzi

    wewe mdiyo hujaelewa
  2. Ulimwengu Mbaya

    Uchaguzi 2025 CCM vs CHADEMA, Samia Suluhu vs Tundu Lissu

    acha ujimga uhuru hautolewi na rais unatolewa nakatiba
  3. Ulimwengu Mbaya

    Sishangai Mbowe anakutana na mabalozi wa Uingereza na Marekani kwa sababu familia yake nzima ni raia wa nchi hiyo

    Siasa za maji taka hizi zitaisha lini ,nchi mzima mnataka tufanane ajili za kichawa hapana si Kila kitu kibapaswa kuungwa mkono na si Kila kitu kibapaswa kupingwa
  4. Ulimwengu Mbaya

    Ni chombo kipi cha habari ambacho kipo huru kwa sasa?

    baada ya nyie kuondoka kwenye vyombo hivyo tulivyokuwa tunategemea , sasa hivi tuna chawa tu na bado ninajiuliza shule za habari na maadili zipo , na kama zipo wale walimu waliowafundisha nyie hawakuacha wakuwarithi
  5. Ulimwengu Mbaya

    CHADEMA yapasuka vipande vipande kuna uwezekano wa kutoshiriki uchaguzi ujao kwa visingizio dhaifu

    hapo naona unarudiarudia kusoma ulichoandika kwa kujisifu
  6. Ulimwengu Mbaya

    Nimegundua Wabunge wanapenyeza hoja ili wakatiwe mlungula

    Haya lakini tufanye nini ili wizi huu usiendelee tunyamaze kwa kuwa siyo mkubwa
  7. Ulimwengu Mbaya

    Nimegundua Wabunge wanapenyeza hoja ili wakatiwe mlungula

    Tuchulie ni wapiga dili lakini haya yanayolalamikiwa yapo au hayapo na kwanini CAG ayaanike
  8. Ulimwengu Mbaya

    Maisha ya Luhaga Mpina mashakani sana. Anakoelekea siyo kuzuri

    Tatizo la nchi yetu ndio hilo mtu akiwa anasema ukweli tunamkatisha tamaa kwa kumtisha eti atulie hawezi kutetea watanzania milioni 60, tunasahau kuwa tulimpa kura ya kutuwakilisha akasemee yale ambayo hayasdemwi siyo kuogopa na kuhofia usalama wake
  9. Ulimwengu Mbaya

    Zijue vita ambazo Israel imeshinda dhidi ya mataifa mengine

    hata mimi hapo niliona ameongeza chumvi
  10. Ulimwengu Mbaya

    Uzalendo umeshuka na kutoweka kwa Watanzania bada ya Rais Samia kurithi Urais. Watanzania hawamuaamini kwa kila kila jambo

    anataka kupooza mambo kwa kutumia chawa ambao hawana impact yoyote kwa wananchi walio wengi na mbaya zaidi anajaribu kutumia walimu aonekane anakubalika
  11. Ulimwengu Mbaya

    Lissu Antipas Tundu aweza kuwa kiongozi mzuri kumpita Rais Samia?

    Hapo umeleweka lakini mkija na lugha za sijui ushoga, udini itabidi turudishane kwenye mstari nchi hatujaathirika na ushogha wa udini tumeathirika na maendeleo ya Watu wetu
  12. Ulimwengu Mbaya

    Lissu Antipas Tundu aweza kuwa kiongozi mzuri kumpita Rais Samia?

    Usisahau kuwa Lisu ni Mwanasheria wakati Samia ni mbumbu wa Sheria ndiyo maana hawezi tofautisha Kati ya mkataba na majadiliano ua makibaliano
Back
Top Bottom