Kafulila nimjenga hoja mzuri tatito ni pale aliponunuliwa tu lakini sina tatizo anachoongea japo kuna sehemu anatupiga changa la macho kwa kutetea ugali wake
Siasa za maji taka hizi zitaisha lini ,nchi mzima mnataka tufanane ajili za kichawa hapana si Kila kitu kibapaswa kuungwa mkono na si Kila kitu kibapaswa kupingwa
baada ya nyie kuondoka kwenye vyombo hivyo tulivyokuwa tunategemea ,
sasa hivi tuna chawa tu na bado ninajiuliza shule za habari na maadili zipo , na kama zipo wale walimu waliowafundisha nyie hawakuacha wakuwarithi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.