Habari,
Naitwa Khamis. Namtafuta rafiki angu tumepotezana ni mwaka sasa na ushehe hatujawasiliana. Sina mawasiliano yake, anaitwa Anamary/ Intisary alikuwa akipenda kujiita Maysara
Alikuwa akiishi Kamachumu baadaye alihamia Dar es Salaam. Just namtafuta Kwa anayemfahamu naomba connection...
Very sorry naomba mnisaidie make nasumbuliw na ulcers sasa hatar ni pale nimelala ikifika saa 10 na nusu much pains alfu ikifika saa 12 asubuh zinatulia na ni kila siku hv ni kwa nn inakua hvooo???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.